Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute kwa namba Whatsapp 0786744177Habari naomba tujuzane kuhusu gharama za material zinazotumika kutengeneza gril kama hizi.
View attachment 2221330
Cheki hizo View attachment 2221475View attachment 2221476View attachment 2221478Habari naomba tujuzane kuhusu gharama za material zinazotumika kutengeneza gril kama hizi.
View attachment 2221330
Hakika...Hili dirisha ni la urembo zaidi kuliko usalama.
Hii itakusaidia Material yanayotakiwa Madirisha yangu yalikuwa SitaHabari naomba tujuzane kuhusu gharama za material zinazotumika kutengeneza gril kama hizi.
View attachment 2221330
Ilo sio dirisha ni kichochoro cha wezi kuondoka na wiring kabla ya kuhamia na flat baada ya kuhamia asante.Habari naomba tujuzane kuhusu gharama za material zinazotumika kutengeneza gril kama hizi.
View attachment 2221330
Hiyo moja na nusu kwa moja ndiyo frame au maana naona kama hazitoshi kwa madirisha sita,, au hizo ni dirisha la futi nne kwa nne iliyotolea hesabu,,Hii itakusaidia Material yanayotakiwa Madirisha yangu yalikuwa SitaView attachment 2224576
Madirisha 6 material 1m? Yana ukubwa gani?Hii itakusaidia Material yanayotakiwa Madirisha yangu yalikuwa SitaView attachment 2224576
Hawa ndio wale mafundi wanaotumia bomba "nyeupe" za kiboko au wanaenda sita Steel wananunua zile rejects ili kutengeneza faida kubwa. Zikipigwa Redoxide kabla hujaangalia kazi yako huwezi kujua chochote.Madirisha 6 material 1m? Yana ukubwa gani?
Mkuu mimi nimeona kama nyingi sana kwa grill.Hawa ndio wale mafundi wanaotumia bomba "nyeupe" za kiboko au wanaenda sita Steel wananunua zile rejects ili kutengeneza faida kubwa. Zikipigwa Redoxide kabla hujaangalia kazi yako huwezi kujua chochote.
Kama hili aluminium haifai?
Nope, materials ziko juu sana kwa sasa.Mkuu mimi nimeona kama nyingi sana kwa grill.
Mimi nimeuziwa grill za square pipe kila moja 100,000 au ndio vyuma scrapper?Nope, materials ziko juu sana kwa sasa.
Duh, hiyo grill ina vipimo gani mkuu?Mimi nimeuziwa grill za square pipe kila moja 100,000 au ndio vyuma scrapper?
Ndogo 150*150cm kuna kubwa zaidiDuh, hiyo grill ina vipimo gani mkuu?
Na bomba ni size gani?
Mh, mkuu kwa bei za sq. pipes sasa hivi naamini hizo bomba ni nyepesi mno.. 0.8mm tena nyeupe. Standard ya kawaida ni 1mm thickness, wenye uwezo wanatumia 1.2mm. Hiyo 100k hata materials tu ni kuungaunga.Ndogo 150*150cm kuna kubwa zaidi