Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

Superb2014

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
9,266
Reaction score
7,426
Poleni na majukumu wa JF!

Naombeni msaada wa kujua gharama za kujenga Shimo la Choo.
 
Upo mkoa gani? unataka mashimo ya kisasa au yale ya kizamani? Kama upo dar just DM me ntakutengenezea shimo la kisasa lisilojaa
 
1.3 M - 1.5 M style ya zamani which i recommend…achana na style mpya. Tumia tofali flani hivi zenye matobo katikati maji yanajichuja chini chenyewe hakijai.

Kujaza chemba sio masihara joh. Watu wengine wana mashimo style ya zamani na miaka kibao hayajai kuna ujengaji flani fundi anatumia tofali zenye matobo au anaacha nafasi kwa tofali za kawaida ya maji kupotea ardhini.

Siku limit lakini.
 
Nilikuwa geita. Shimo kuchimba futi 5 kwa 5 kwa 15 kuchimba na kujenga sh laki 1.

Mifuko 2 ya simenti, nondo 1, na bomba. Jumla ya tofali 300 za kuchoma. Ardh ya kule ina mwamba lukiri_sedimentary rock.
Haizid lak 3
 
Karibu tukuhudumie kwa bei Nzuri.....

Mashimo ya choo ya kisasa

[emoji736]Gharama nafuu
[emoji736]Hakuna kunyonya majitaka
[emoji736]Hutumia nafasi ndogo
[emoji736]Hayatoi harufu
[emoji736]garantii unapatiwa
[emoji736]Hutumika hata kwenye chemchem

Kwa gharama ya Tsh 1.5 M tunakukabidhi Shimo limekamilika!

Hii inajumuisha ujenzi wa chamber zote na mabomba ya maji machafu kutoka kwenye chamber hadi kwenye Shimo....Karibu tukuhudumie

Tupigie 0789 005 562
Watsap Wa.me/255789005562
IMG-20220310-WA0076.jpg
IMG-20220310-WA0075.jpg
IMG-20220310-WA0056.jpg
 
1.3 M - 1.5 M style ya zamani which i recommend…achana na style mpya. Tumia tofali flani hivi zenye matobo katikati maji yanajichuja chini chenyewe hakijai.

Kujaza chemba sio masihara joh. Watu wengine wana mashimo style ya zamani na miaka kibao hayajai kuna ujengaji flani fundi anatumia tofali zenye matobo au anaacha nafasi kwa tofali za kawaida ya maji kupotea ardhini.

Siku limit lakini.
Very true sisi tulihamia makazi mwaka 1992 nikowa dogo kabisa tumekaa pale watu tisa mpaka tunahama pale mwaka 2000 hatukuwahi ita gari la kunyonya tukahamia makazi mapya mpaka najitegemea na leo bado wazazi wanaishi hakuna siku imewahi jaa. Mind you watu tulikuwa kama 10
 
Very true sisi tulihamia makazi mwaka 1992 nikowa dogo kabisa tumekaa pale watu tisa mpaka tunahama pale mwaka 2000 hatukuwahi ita gari la kunyonya tukahamia makazi mapya mpaka najitegemea na leo bado wazazi wanaishi hakuna siku imewahi jaa. Mind you watu tulikuwa kama 10

Mi najua fika mbona naangalia mifumo ya sasa ya kishamba mavyoo ya watu yana buma daily kinyaa tu unachimba shimo dogo eti hakijai bla bla mwishowe aibu tu

Chimba shimo la choo foot 12 kwenda chini upana wa kama simtank la maji…..jenga tofali ki aina ukiacha nafasi au tofali zenye matobo….hilo shimo la choo halijai kamwe…..limejaa sana utaita gari kunyonya maji baada ya miaka kama 8 - 10 huko na gharama zenyewe hazizidi laki…..kipindi cha kiangazi yale maji yanapungua yenyewe ardhini tu….kule chini kwenye sakafu ya shimo usiweke floor acha udongo / mchanga hivyo hivyo.

Utaishi na utasahau choo kujaa.
 
ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!
Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania

Sifa za vyoo vya kisasa.
[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.

[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo

[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)

[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)

[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k

[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k

[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5

Na Haya mashimo gharama yake ni 1,500,000/ kwa mikoa Yote Tanzania

NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.

Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562 au njoo wasap kwa link hii Wa.me//255789005562

By

Kelvin Hk
FB_IMG_1690373027061.jpg
FB_IMG_1690373031286.jpg
FB_IMG_1690373023194.jpg
FB_IMG_1690373019183.jpg
FB_IMG_1690373044001.jpg
 
Futi 11 upana, futi 12 urefu. (11X12)
Kuchimba. 250,000
Kujenga 250,000
Blocks 400. 360,000
Cement 12. 180,000
Mchanga. 60,000
Kokoto 90,000
Nondo 10. 200,000
Mbao (1X4) 18. 45,000
Mbao (2X4) 5. 25,000
Binding wire. 3,000

TShs. 1,463,000/=

NB; Achana na hayo mashimo wanaita ya kisasa.
 
Achana na Mashimo Ya zamani! Yanasumbua sana na Yanachukua eneo kubwa na usalama mdogo!

ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!
Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania

Sifa za vyoo vya kisasa.
[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.

[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo

[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)

[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)

[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k

[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k

[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5

Na Haya mashimo gharama yake ni 1,500,000/ kwa mikoa Yote Tanzania

NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.

Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562 au njoo wasap kwa link hii Wa.me//255789005562

By

Kelvin Hk
FB_IMG_1690373035445.jpg
FB_IMG_1690373031286.jpg
FB_IMG_1690442108355.jpg
 
Unatumia shimo moja au unayo mawili? Maana wengi naona wanaweka lile la square na la round.
Kitaalam inatakiwa yawe mawili (duara na mstatili), ila kama mfuko hauko vizuri ukijenga moja (la mstatili) inatosha. Shimo la duara ni kwa ajili ya maji maji (fluids) na shimo la mstatili ni kwa ajili ya uchafu (solids).
 
Karibu tukuhudumie kwa bei Nzuri.....

Mashimo ya choo ya kisasa

[emoji736]Gharama nafuu
[emoji736]Hakuna kunyonya majitaka
[emoji736]Hutumia nafasi ndogo
[emoji736]Hayatoi harufu
[emoji736]garantii unapatiwa
[emoji736]Hutumika hata kwenye chemchem

Kwa gharama ya Tsh 1.5 M tunakukabidhi Shimo limekamilika!

Hii inajumuisha ujenzi wa chamber zote na mabomba ya maji machafu kutoka kwenye chamber hadi kwenye Shimo....Karibu tukuhudumie

Tupigie 0789 005 562
Watsap Wa.me/255789005562View attachment 2219298View attachment 2219299View attachment 2219300
Hii bei uliyotaja hapo bado iko hivyo kwa sasa au imebadilika? Na mashimo yote una maanisha za round na rectangle gharama ni hiyo tu au ni kwa round peke yake
 
Kitaalam inatakiwa yawe mawili (duara na mstatili), ila kama mfuko hauko vizuri ukijenga moja (la mstatili) inatosha. Shimo la duara ni kwa ajili ya maji maji (fluids) na shimo la mstatili ni kwa ajili ya uchafu (solids).
Gharama za yote mawili zikoje Chief?
 
Hii bei uliyotaja hapo bado iko hivyo kwa sasa au imebadilika? Na mashimo yote una maanisha za round na rectangle gharama ni hiyo tu au ni kwa round peke yake
Hapo ni Mashimo Mawili...Moja la tofari na moja la mawe! Gharama hiyo ni kila kitu Kwangu hadi nakabidhi shimo tayari kwa matumizi!

Karibu 0789005562
 
Achana na Mashimo Ya zamani! Yanasumbua sana na Yanachukua eneo kubwa na usalama mdogo!

ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!
Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania

Sifa za vyoo vya kisasa.
[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.

[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo

[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)

[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)

[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k

[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k

[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5

Na Haya mashimo gharama yake ni 1,500,000/ kwa mikoa Yote Tanzania

NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.

Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562 au njoo wasap kwa link hii Wa.me//255789005562

Kelvin Hk
FB_IMG_1699462000325.jpg
FB_IMG_1699461994721.jpg
FB_IMG_1699461984497.jpg
 
Back
Top Bottom