Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!

Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania

Sifa za vyoo vya kisasa.

[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.

[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo

[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)

[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)

[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k

[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k

[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5

Na Haya mashimo gharama yake ni 1,200,000/ kwa mikoa Yote Tanzania

NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.

Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562

By

Kelvin Hk
FB_IMG_1705231919354.jpg
FB_IMG_1705231916402.jpg
FB_IMG_1705231910520.jpg
FB_IMG_1705231913555.jpg
 
ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!

Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania

Sifa za vyoo vya kisasa.

[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.

[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo

[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)

[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)

[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k

[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k

[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5

Na Haya mashimo gharama yake ni 1,200,000/ kwa mikoa Yote Tanzania

NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.

Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562

@followers
@highlight

By

Kelvin Hk
FB_IMG_1705231919354.jpg
FB_IMG_1705231916402.jpg
FB_IMG_1705231910520.jpg
FB_IMG_1705231910520.jpg
 
OFA.....OFA



KWA WAKAZI WA DSM nakupa Offer ya MILLION 1 TU NAKUJENGEA SHIMO LA KISASA NA LINAKAMILIKA KILA KITU...Na wewe NJOO NA OFFER YAKO NA UNIAMBIE UPO SEHEMU GANI NIONE KAMA NAWEZA KUKUFIKIA KWA HARAKA

Wakazi wa DSM NA MKOANI AMBAPO MVUA ZINAENDELEA KWA USALAMA WA CHOO CHAKO NA GHARAMA NAFUU KABISA!

[emoji736]Gharama nafuu
[emoji736]Hakuna kunyonya majitaka
[emoji736]Hutumia nafasi ndogo
[emoji736]Hayatoi harufu
[emoji736]Hutumika hata kwenye chemchem

Kwa gharama ya Tsh 1M TU tunakukabidhi Shimo limekamilika! (NJOO NA OFFER YAKO NIONE KAMA NITAWEZA KUKUSAIDIA)

Hii inajumuisha ujenzi wa chamber zote na mabomba ya maji machafu kutoka kwenye chamber hadi kwenye Shimo....Karibu tukuhudumie.....Wakati wa kujenga ni huu!

Maelekezo Zaidi nitaWeka kwenye comments!

Tupigie 0789 005 562
Watsap Wa.me//255789005562

#ujenziwanyumbaboratz #Choobora #ujenzi #ujenzizone #ujenzieatv #ujenzidsm #Kelv #finishingtouches #FinishingMaster #ujenzizanzibar #ujenzitz
IMG_20240122_171913_6.jpg
IMG_20240122_171809_0.jpg
 
OFA.....OFA



KWA WAKAZI WA DSM nakupa Offer ya MILLION 1 TU NAKUJENGEA SHIMO LA KISASA NA LINAKAMILIKA KILA KITU...Na wewe NJOO NA OFFER YAKO NA UNIAMBIE UPO SEHEMU GANI NIONE KAMA NAWEZA KUKUFIKIA KWA HARAKA

Wakazi wa DSM NA MKOANI AMBAPO MVUA ZINAENDELEA KWA USALAMA WA CHOO CHAKO NA GHARAMA NAFUU KABISA!

[emoji736]Gharama nafuu
[emoji736]Hakuna kunyonya majitaka
[emoji736]Hutumia nafasi ndogo
[emoji736]Hayatoi harufu
[emoji736]Hutumika hata kwenye chemchem

Kwa gharama ya Tsh 1M TU tunakukabidhi Shimo limekamilika! (NJOO NA OFFER YAKO NIONE KAMA NITAWEZA KUKUSAIDIA)

Hii inajumuisha ujenzi wa chamber zote na mabomba ya maji machafu kutoka kwenye chamber hadi kwenye Shimo....Karibu tukuhudumie.....Wakati wa kujenga ni huu!

Maelekezo Zaidi nitaWeka kwenye comments!

Tupigie 0789 005 562
Watsap Wa.me//255789005562

#ujenziwanyumbaboratz #Choobora #ujenzi #ujenzizone #ujenzieatv #ujenzidsm #Kelv #finishingtouches #FinishingMaster #ujenzizanzibar #ujenzitzView attachment 2904047View attachment 2904048
Mkuu futi 4 si ni kama mita moja tu? How come shimo la mita moja lisijae kirahisi? Maji ya bafuni nayo yataelekezewa huko huko kwenye hii chemba?
 
FANYA UPUUZ WOTE ILA USIROGWE UKAJENGA HAYO MAVYOO YA KISASA... NI UPUUZ TU
 
[emoji320]𝐎𝐅𝐀 𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝟒𝟎% 𝐙𝐢𝐦𝐞𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐳𝐰𝐚

Gharama ya ujenzi ni 800,000 mteja utanunua mchanga tu kwa ujenzi wa shimo moja, kwa ujenzi wa mashimo mawili ni 1,200,000 kila kitu juu yetu.

MIKOANI gharama ni 1,000,000 shimo la tofali na 1,300,000 shimo la tofali pamoja na shimo la mawe kwa pamoja....

Kwa gharama hizi nakupa offer ya Kukununulia bomba za kuunganisha kutoka chember hadi ukutani na chember nitakujengea BURE

Tupigie kwa no. 0789005562

[emoji724][emoji775][emoji840]Hizi ni baadhi ya sifa za choo hichi [emoji116]
Hupoteza maji taka kwa njia ya ardhi (hakijai)
Hutumia eneo dogo Sana ardhi kulinganisha na mashimo ya kale
Havitemi harufu ndani kwa harufu hupotelea ardhini
Hupendezesha mazingira kwani unaweza kulijenga lisionekane
Gharama zake ni rafiki Sana kulinganisha na mfumo wa kale

Piga simu Utajibiwa kwa haraka 0789005562
IMG_20250110_114753_151.jpg
FB_IMG_1736493309670.jpg
IMG_20250110_114605_238.jpg
IMG_20250110_114605_703.jpg
 
Back
Top Bottom