jaja34 New Member Joined Jun 2, 2023 Posts 1 Reaction score 1 Jun 3, 2023 #1 Wakuu habari zenu! Hivi mtu ukiwa na boat na unajitaji kuifanyia huduma za kupeleka watu uko Bongonyo Island or Mbudy je unafanya process? Namaanisha process zote za kupaki na kupeleka watu kuinjoi zikoje?
Wakuu habari zenu! Hivi mtu ukiwa na boat na unajitaji kuifanyia huduma za kupeleka watu uko Bongonyo Island or Mbudy je unafanya process? Namaanisha process zote za kupaki na kupeleka watu kuinjoi zikoje?
Offshore Seamen JF-Expert Member Joined Mar 9, 2018 Posts 5,489 Reaction score 14,091 Jun 3, 2023 #2 Kwanza inatakiwa ikaguliwe na surveyor kutoka Tasac, kisha usajili na upate certificate of Seaworthiness kutoka Tasac. Sehemu ya kupaki utalipa kwa wenye eneo au kuchangia gharama za hapo unapopakia na kushusha abiria kama ni Sleep way au kule kisiwani Mbudya.
Kwanza inatakiwa ikaguliwe na surveyor kutoka Tasac, kisha usajili na upate certificate of Seaworthiness kutoka Tasac. Sehemu ya kupaki utalipa kwa wenye eneo au kuchangia gharama za hapo unapopakia na kushusha abiria kama ni Sleep way au kule kisiwani Mbudya.