Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,368
- 1,325
wanashindia kanzu.- Fremu 50-200,000 kwa mwezi kutokana na vigezo vingi sana.
- Biashara challenge sana kutegemea na aina ya bishara.
- Hamna cha wazee wala nini.
- Biashara nzuri ya vyakula au mazao (mahindi, unga, mchele n.k)
- Nguo wale jamaa hawavai kabisa.
Maderawanashindia kanzu.
Shukrani mkuu hapo ni Tanga mjini center kabisa- Fremu 50-200,000 kwa mwezi kutokana na vigezo vingi sana.
- Biashara challenge sana kutegemea na aina ya bishara.
- Hamna cha wazee wala nini.
- Biashara nzuri ya vyakula au mazao (mahindi, unga, mchele n.k)
- Nguo wale jamaa hawavai kabisa.
Hujui Tanga kabisa kijana wangu haswa kweny swala la nguo umechemka kama unabisha angalia bodaboda wa pale Tanga mjini then angalia wanawake wa Tanga .- Fremu 50-200,000 kwa mwezi kutokana na vigezo vingi sana.
- Biashara challenge sana kutegemea na aina ya bishara.
- Hamna cha wazee wala nini.
- Biashara nzuri ya vyakula au mazao (mahindi, unga, mchele n.k)
- Nguo wale jamaa hawavai kabisa.
Mitaa iliyochangamka kibiashar ni ipi ni ipi yani watu wa kutoka pembezoni mwa mji wanaenda fanya manunuzi kwa wingi kama dar kariakoo Dodoma barabara ya sita mpaka ya kumiHujui Tanga kabisa kijana wangu haswa kweny swala la nguo umechemka kama unabisha angalia bodaboda wa pale Tanga mjini then angalia wanawake wa Tanga .
Hakuna wanawake wanavaa kama wa Tanga Wana hata mtu ukute anakaa nyumba ya udongo anapikia kuni madera kama yote usiombe pawe na shughuli kama ya siku mbili nguo mpaka ya kuchambulia mchele .Mleta mada wanawake wa Tanga wanavaa haswa usidanganywe
Wanaume wanavaa sana na kupenda slope sema ijumaa wanapenda kanzu hata wakristo unakuta wanavaa kanzu.kingine nguo za special kwao dili mitumba Tangamano ipo kibao Tena mikali hawana ishu nayo na sasa vijana wengi hawataki kazi kupindisha midomo huko Instagram na Facebook kwa nguo za kuazima maana hawana hela za ila wanapenda kuvaa sijawai kuona .....Angalia bodaboda wa Tanga utaona jinsi wanavyopenda kuvaa special vunjabei alishtuka mchongo kashaweka duka pale Yale maronya yake yananunuliwa sana .
Kingine Tanga hamna watu wengi pale town kumepoa Sana wengi wamehama wanakimbilia kange na njia ya mwahako
Kuhusu nafaka umepatia ukiangalia ndo zinawatajirisha wasambaa rejea mashine za unga pale barabara 15.
Ndiyo hapo sawa umemuweka sawa eid tanga week mbili.Hujui Tanga kabisa kijana wangu haswa kweny swala la nguo umechemka kama unabisha angalia bodaboda wa pale Tanga mjini then angalia wanawake wa Tanga .
Hakuna wanawake wanavaa kama wa Tanga Wana hata mtu ukute anakaa nyumba ya udongo anapikia kuni madera kama yote usiombe pawe na shughuli kama ya siku mbili nguo mpaka ya kuchambulia mchele .Mleta mada wanawake wa Tanga wanavaa haswa usidanganywe
Wanaume wanavaa sana na kupenda slope sema ijumaa wanapenda kanzu hata wakristo unakuta wanavaa kanzu.kingine nguo za special kwao dili mitumba Tangamano ipo kibao Tena mikali hawana ishu nayo na sasa vijana wengi hawataki kazi kupindisha midomo huko Instagram na Facebook kwa nguo za kuazima maana hawana hela za ila wanapenda kuvaa sijawai kuona .....Angalia bodaboda wa Tanga utaona jinsi wanavyopenda kuvaa special vunjabei alishtuka mchongo kashaweka duka pale Yale maronya yake yananunuliwa sana .
Kingine Tanga hamna watu wengi pale town kumepoa Sana wengi wamehama wanakimbilia kange na njia ya mwahako
Kuhusu nafaka umepatia ukiangalia ndo zinawatajirisha wasambaa rejea mashine za unga pale barabara 15.
Barabara ya 13 kwa ajili ya nguo ,na 15 kwa biashara za nafaka, mgandini pale kwa matunda na mbogamboga yaani sokoni ,mitumba Tangamano hapo wateja kibao jumamosi na jumanne na alhamisi kipindi natoka mwaka 2013 ilikuwa ivyo so sijui kwa sasaMitaa iliyochangamka kibiashar ni ipi ni ipi yani watu wa kutoka pembezoni mwa mji wanaenda fanya manunuzi kwa wingi kama dar kariakoo Dodoma barabara ya sita mpaka ya kumi
Mimi nataka niende kwa ajili ya vifaa vya simuBarabara ya 13 kwa ajili ya nguo ,na 15 kwa biashara za nafaka, mgandini pale kwa matunda na mbogamboga yaani sokoni ,mitumba Tangamano hapo wateja kibao jumamosi na jumanne na alhamisi kipindi natoka mwaka 2013 ilikuwa ivyo so sijui kwa sasa
Barabara ya 13 na stendi ya zamani pale pako poaw sana nasikia kuna stendi mpya huko kange sijawai kufika nimeondoka kitambo sijajua biashara zipoje ? huko kange.Mimi nataka niende kwa ajili ya vifaa vya simu
Shukrani mkuuBarabara ya 13 na stendi ya zamani pale pako poaw sana nasikia kuna stendi mpya huko kange sijawai kufika nimeondoka kitambo sijajua biashara zipoje ? huko kange.
Hahahaha Tanga Wanagonga Kanzu Tuu[emoji23][emoji23]- Fremu 50-200,000 kwa mwezi kutokana na vigezo vingi sana.
- Biashara challenge sana kutegemea na aina ya bishara.
- Hamna cha wazee wala nini.
- Biashara nzuri ya vyakula au mazao (mahindi, unga, mchele n.k)
- Nguo wale jamaa hawavai kabisa.