Ngoja waje wajuziHii ni mpya kabisa.
UMMY anakuja na speed lakini atambue kuwa kamahajamhusisha mteuaji na kuridhia, akichachamaa itakula kwake.
Hapo anachokifanya ana question credibility ya ofisi ya mtruaji.
Kwa kifupi kufanya hivyo ni insubordination.
HATARI SANA.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Nadhani hakuna aliyetenguliwa, kumekuwa na tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi.Hii ni mpya kabisa.
UMMY anakuja na speed lakini atambue kuwa kamahajamhusisha mteuaji na kuridhia, akichachamaa itakula kwake.
Hapo anachokifanya ana question credibility ya ofisi ya mtruaji.
Kwa kifupi kufanya hivyo ni insubordination.
HATARI SANA.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Ni wazi Waziri amepata maelekezo toka kwa Rais au Waziri Mkuu.Hii ni mpya kabisa.
UMMY anakuja na speed lakini atambue kuwa kamahajamhusisha mteuaji na kuridhia, akichachamaa itakula kwake...
Hii ni mpya kabisa.
UMMY anakuja na speed lakini atambue kuwa kamahajamhusisha mteuaji na kuridhia, akichachamaa itakula kwake.
Hapo anachokifanya ana question credibility ya ofisi ya mtruaji.
Kwa kifupi kufanya hivyo ni insubordination.
HATARI SANA.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Vivyo hivyo ana mamlamka pia ya kumsimamisha kazi maDc, maRc? ndo kiini cha swali mkuu ingependeza ujikite kwenye mada husika mkuuSawa yeye kamsimamisha kazi, hajatengua Ukurugenzi wake! Atakayetengua au kumfukuza kazi ni yule yule aliyemteua! Waziri yupo sahihi kabisa! Mamlaka yake ni kumsimamisha siyo kumfukuza! Akitaka afukuzwe lazima amshauri Rais kulingana ns uzito wa makosa.
Je kwa maDc na maRc anao uwezo wa kuwasimamisha kazii? Ndo swali langu hiloNdio. Anayo mamlaka ya kumsimamisha kazi hadi hapo uchunguzi utakapokamilika. Mamlaka ya kumfukuza kazi anayo yule aliyemteua na anaweza kufanya hivyo baada ya uchunguzi kubaini kuwa makosa anayotuhumiwa nayo ni ya kweli. Waziri hana mamlaka ya kumfukuza kazi.
Mamlaka ya kusimamisha RC au DC yapo kwa RaisVivyo hivyo ana mamlamka pia ya kumsimamisha kazi maDc, maRc? ndo kiini cha swali mkuu ingependeza ujikite kwenye mada husika mkuu
Labda DC maana mkuu wa mkoa anaapa kwa Rais na DC anaapishwa na Mkuu wa MkoaJe kwa maDc na maRc anao uwezo wa kuwasimamisha kazii? Ndo swali langu hilo
Angejifunza kwa waziri mkuu alimsimamisha mkurugenzi wa fedha yule mwingine akaacha kwa sababu hana mamlakq nayeHii ni mpya kabisa.
UMMY anakuja na speed lakini atambue kuwa kamahajamhusisha mteuaji na kuridhia, akichachamaa itakula kwake.
Hapo anachokifanya ana question credibility ya ofisi ya mtruaji.
Kwa kifupi kufanya hivyo ni insubordination.
HATARI SANA.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Sawasawa..Nadhani hakuna aliyetenguliwa, kumekuwa na tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi.
Waziri Ummy ameagiza uchunguzi na kwa sheria za utumishi nadhani huwezi chunguzwa ukiwa ofisini hivyo Ummy amewa simamisha kupisha uchunguzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dc na RC hao wako serikali kuu ila wakurugenzi wao wako serikali za mitaa hivyo Waziri wa tamisemi anaweza kuwasimamisha na kuwachunguzaJe kwa maDc na maRc anao uwezo wa kuwasimamisha kazii? Ndo swali langu hilo
Kwann mbona hata mkurugenzi ni mteule wa raisMamlaka ya kusimamisha RC au DC yapo kwa Rais