Naomba kujuzwa hii species ya watu wenye miili mikubwa imepotelea wapi?

Naomba kujuzwa hii species ya watu wenye miili mikubwa imepotelea wapi?

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,071
Reaction score
1,361
Habari za asubuhi wana Jf
Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana.

Mfano mimi nilikua na Babu yangu anabeba Gunia la mahindi peke yake na pia alikua ana uwezo wa kumpiga ng"ombe mkubwa kibao au ngumii akaanguka chini kabisa inashangaza.

Hawa watu sasa hivi wako wachache sana wapo sana kwa wingi Marekani, na Baadhi ya Nchi za Africa magharibi Kama Senegal ndo wanapatikana hawa maa giant na baadhi hapa Tanzania wanapatiakana kama usukumani kuna
baadhi ya Wasukuma wana miili mikubwa.

Naomba kujuzwa hii species imepotelea wapi? na nini chanzo cha hii Jamii ya watu wa namna hii kubaki wachache saana?

Asanteni nawasilisha.
 
Siku
Habari za asubuhi wana Jf
Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana.

Mfano mimi nilikua na Babu yangu anabeba Gunia la mahindi peke yake na pia alikua ana uwezo wa kumpiga ng"ombe mkubwa kibao au ngumii akaanguka chini kabisa inashangaza.

Hawa watu sasa hivi wako wachache sana wapo sana kwa wingi Marekani, na Baadhi ya Nchi za Africa magharibi Kama Senegal ndo wanapatikana hawa maa giant na baadhi hapa Tanzania wanapatiakana kama usukumani kuna
baadhi ya Wasukuma wana miili mikubwa.

Naomba kujuzwa hii species imepotelea wapi? na nini chanzo cha hii Jamii ya watu wa namna hii kubaki wachache saana?

Asanteni nawasilisha.
Siku hizi kuna specie za watu wenye miili midogo na wanabeba hayo hayo magunia.
Vile vile kuna specie za watu wenye vichwa vikubwa na akili ndogo
 
Habari za asubuhi wana Jf
Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana.

Mfano mimi nilikua na Babu yangu anabeba Gunia la mahindi peke yake na pia alikua ana uwezo wa kumpiga ng"ombe mkubwa kibao au ngumii akaanguka chini kabisa inashangaza.

Hawa watu sasa hivi wako wachache sana wapo sana kwa wingi Marekani, na Baadhi ya Nchi za Africa magharibi Kama Senegal ndo wanapatikana hawa maa giant na baadhi hapa Tanzania wanapatiakana kama usukumani kuna
baadhi ya Wasukuma wana miili mikubwa.

Naomba kujuzwa hii species imepotelea wapi? na nini chanzo cha hii Jamii ya watu wa namna hii kubaki wachache saana?

Asanteni nawasilisha.
Karne ya 12 inamaana kuanzia mwaka=1100-
Karne aya 19 inamaana kuanzia mwaka=1800-
Mh! Umekula chumvi kwa kweli
 
Ungetupa matokea ya utafiti kuwa binadamu wa miili mikubwa wanatoweka duniani tungekuelewa lkn mambo hayaendi kwa hisia tu. By the way kwa teknolojia ilivyokuwa ukiwa bado unabeba gunia la mahindi manually unatakiwa ukapimwe akili. Baadaye utauliza kwanini siku hizi watu hawatembei umbali mrefu maana zamani watu walikuwa wanatembea hadi km 100
 
Back
Top Bottom