Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Soma mstari kwa mstari utaelewa.. Ha haaaMkuu unamana gan!!!!nimechekaaa sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma mstari kwa mstari utaelewa.. Ha haaaMkuu unamana gan!!!!nimechekaaa sanaaa
Tutankamunyani babu yako kubeba gunia moja la mahindi umemuona giant!!!
nenda kariakoo shimoni ukaone makuli wanavyobeba halafu uje ufute mstari wako
19Babu yako alikua karne ya ngapi kipindi hiko?
Hahahhahaha uwii mkuu you make my dayyani babu yako kubeba gunia moja la mahindi umemuona giant!!!
nenda kariakoo shimoni ukaone makuli wanavyobeba halafu uje ufute mstari wako
Le MbebezzzzSiku
Siku hizi kuna specie za watu wenye miili midogo na wanabeba hayo hayo magunia.
Vile vile kuna specie za watu wenye vichwa vikubwa na akili ndogo
Kama le MutuzzzKadiri Mwili unavyOkuwa Mkubwa ndio akili inakuwa inactive
Pita huku kuna wajuzi walishusha nondo unaweza pata majibu yakoHabari za asubuhi wana Jf
Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana.
Mfano mimi nilikua na Babu yangu anabeba Gunia la mahindi peke yake na pia alikua ana uwezo wa kumpiga ng"ombe mkubwa kibao au ngumii akaanguka chini kabisa inashangaza.
Hawa watu sasa hivi wako wachache sana wapo sana kwa wingi Marekani, na Baadhi ya Nchi za Africa magharibi Kama Senegal ndo wanapatikana hawa maa giant na baadhi hapa Tanzania wanapatiakana kama usukumani kuna
baadhi ya Wasukuma wana miili mikubwa.
Naomba kujuzwa hii species imepotelea wapi? na nini chanzo cha hii Jamii ya watu wa namna hii kubaki wachache saana?
Asanteni nawasilisha.
Hahahayani babu yako kubeba gunia moja la mahindi umemuona giant!!!
nenda kariakoo shimoni ukaone makuli wanavyobeba halafu uje ufute mstari wako
Ungetupa matokea ya utafiti kuwa binadamu wa miili mikubwa wanatoweka duniani tungekuelewa lkn mambo hayaendi kwa hisia tu. By the way kwa teknolojia ilivyokuwa ukiwa bado unabeba gunia la mahindi manually unatakiwa ukapimwe akili. Baadaye utauliza kwanini siku hizi watu hawatembei umbali mrefu maana zamani watu walikuwa wanatembea hadi km 100
Kaka gunia la mahindi linabebwa na lingine juu!!Gunia LA mahindi unalijua mkuu?? Lina kilo ngapi? Na anabeba mwenyewe bila kutishwaa
Na baba yako mmoja wao!!Hapa nmebase kwa watu wenye miili mikubwa ma Giant
Hahahaaa jamaa ni mkongweKarne ya 12 inamaana kuanzia mwaka=1100-
Karne aya 19 inamaana kuanzia mwaka=1800-
Mh! Umekula chumvi kwa kweli
Hahaha.[emoji1] Mara ya mwisho kupimwa mkojo lini mkuuSiku
Siku hizi kuna specie za watu wenye miili midogo na wanabeba hayo hayo magunia.
Vile vile kuna specie za watu wenye vichwa vikubwa na akili ndogo