Naomba kujuzwa historia ya Wakinga

Naomba kujuzwa historia ya Wakinga

duet

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
534
Reaction score
149
Naomba kujua historia ya Wakinga, asili, tamaduni na mengineyo.
 
Acheni kuchafua kabila za watu,Asili yetu ni biashara na tuna mafanikio sana upande huo that why watu wanahisi tunatumia uchawi ukitaka mafanikio owa au olewa na mkinga utaja niambia.
 
usije ukajichanganya kuoa mwanamke wa kabila hilo maana utake usitake utatolewa kafara tu kwa kuleta utajiri home.
Familia nyingi za wakinga ni nadra sana kumkuta mume yu hai kwa muda mref ktk ndoa

Uchawi huo tumeanza lini? Baada ya kuwashinda kibiashara wahindi na wachaga kariakoo?

Kama ni wachawi kwanini hatukuongoza kwenye biashara tangu kipindi cha nyuma? Ni juhudi tu na kujifunza njia za biashara Ndio maana tupo juu kwasasa
 
Tunajituma sana. Kuhusu ndumba, hizo zipo tu duniani mtu anatumia kwa mawazo yake. Ila tunachapa kazi vibaya sana wajameni
 
Hebu tuheshimuni wakinga wa digital
 
kazi imeanza
watanzania kwa imamni za kishirikina ndo wenyewe hata aliyeanzisha uzi huu si ajabu naye mshirikina alienda kujaribu ndumba zake kwa wakinga zikagonga mwamba sasa kilichobaki kwake ni matusi kwa wakinga. kijana fanya kazi achana na mawazo potofu. wakinga ni habari nyingine mjini ni chuo kikuu cha biashara kuliko elimu inayotolewa na CBE. UKITAKA MAFANIKIO WAONE WAKUFUNDISHE MBINU ZA BIASHARA. MAFANIKIO YA WAKINGA NI MFUMO WA MAISHA NA MAFUNDISHO TOKA KWA WAZAZI WAO WALIOWAELIMISHA JINSI YA KUTUNZA PESA, KUFANYA KAZI KWA WELEDI WAO WANASEMA UVOMBAGE IMBOMBO NU LUHANA NU LWOTSI YAANI FANYA KAZI KWA AKILI NA UMAKINI, HIYO NDO FALKSAFA YA MKINGA NA NDO UCHAWI UNAWASHINDA WATU WENGINE. JARIBU MWAKA MMOJA KUMPA MKINGA KAZI YA URAIS BASI WATANZANIA WOTE WATAKUWA WAJASIRIAMALI, UCHAWI GANI WA KUTEMBEA TOKA UYOLE HADI MAKAMBAO KWA MGUU? UKUMBUKE HUYU ANYEFANYA HIVYO AMEPEWA BIDHAA NA TAJIRI WA KIKINGA MWENZAKE AMBAYE ANAMUAMBIA MTAJI WAKO NI MGUU WAKO KUTAFUTA WATEJA. KWAHIYO HISIA ZA WIVU, USIDANDIE MAFANIKIO UKIONA CHA ELEA KIMEUNDWA, WAKINGA WAMEFUNDWA KUFANYA BIASHARA, NA SASA WAMEINGIA DIGITAL, HAKUNA KUIBIWA TENA NA WAFANYAKAZI (WACHAGA) WA TRA. KOLIKOLI WAMEKAMATA KARIAKOO, MANZESE NA KWINGINEKO HASA NYANDA ZA JUU KUSINI, WAO WALIACHANA NA USHIRIKINA USIO NA TIJA WA KUUANA KAMA WAFANYAVYO WATU WENGINE HALAFU HAKUNA MAENDELEO. ADUI MPENDE JIFUNZE KWAKE
 
vp kwenye upande wa mahusiano wa wazidi wahaya?

Wahaya tuna mahusiano gani? Au ulimaanisha yale mambo yetu? Hahaha kwenye hiyo idara hakuna aliyeko nyuma huenda kwa mbaaali mchaga ndiye anasuasua
 
Back
Top Bottom