Naomba kujuzwa historia ya Wakinga

Naomba kujuzwa historia ya Wakinga

watanzania kwa imamni za kishirikina ndo wenyewe hata aliyeanzisha uzi huu si ajabu naye mshirikina alienda kujaribu ndumba zake kwa wakinga zikagonga mwamba sasa kilichobaki kwake ni matusi kwa wakinga. kijana fanya kazi achana na mawazo potofu. wakinga ni habari nyingine mjini ni chuo kikuu cha biashara kuliko elimu inayotolewa na CBE. UKITAKA MAFANIKIO WAONE WAKUFUNDISHE MBINU ZA BIASHARA. MAFANIKIO YA WAKINGA NI MFUMO WA MAISHA NA MAFUNDISHO TOKA KWA WAZAZI WAO WALIOWAELIMISHA JINSI YA KUTUNZA PESA, KUFANYA KAZI KWA WELEDI WAO WANASEMA UVOMBAGE IMBOMBO NU LUHANA NU LWOTSI YAANI FANYA KAZI KWA AKILI NA UMAKINI, HIYO NDO FALKSAFA YA MKINGA NA NDO UCHAWI UNAWASHINDA WATU WENGINE. JARIBU MWAKA MMOJA KUMPA MKINGA KAZI YA URAIS BASI WATANZANIA WOTE WATAKUWA WAJASIRIAMALI, UCHAWI GANI WA KUTEMBEA TOKA UYOLE HADI MAKAMBAO KWA MGUU? UKUMBUKE HUYU ANYEFANYA HIVYO AMEPEWA BIDHAA NA TAJIRI WA KIKINGA MWENZAKE AMBAYE ANAMUAMBIA MTAJI WAKO NI MGUU WAKO KUTAFUTA WATEJA. KWAHIYO HISIA ZA WIVU, USIDANDIE MAFANIKIO UKIONA CHA ELEA KIMEUNDWA, WAKINGA WAMEFUNDWA KUFANYA BIASHARA, NA SASA WAMEINGIA DIGITAL, HAKUNA KUIBIWA TENA NA WAFANYAKAZI (WACHAGA) WA TRA. KOLIKOLI WAMEKAMATA KARIAKOO, MANZESE NA KWINGINEKO HASA NYANDA ZA JUU KUSINI, WAO WALIACHANA NA USHIRIKINA USIO NA TIJA WA KUUANA KAMA WAFANYAVYO WATU WENGINE HALAFU HAKUNA MAENDELEO. ADUI MPENDE JIFUNZE KWAKE
Wataalam wa misukule
 
Hapa Kuna Mgongano Wa Kimaslahi....! Kuna Watu Wanapigwa Knock Out Pale Kariakoo Kibiashara Sasa Wanakimbilia Kwa Kuna Uchawi.... We Fikiria Mwenzio anafungua biashara saa kumi na moja alfajiri wewe unafungua saa nne halafu unamwambia mwenzio Mchawi....! Sio sawa kbs....Pambaneni
 
Ukitaka kujua mkinga ni mtu wa aina gani, nenda njombe katafute duka la muhindi au mchaga kama utalikuta..jamaa sio watu poa kabisa kwao ni wao tu wakinga na ndugu zao wabena.
 
Kwa muda mrefu sasa tumesaidia watu wengi kupitia ukurasa huu. Pamoja na kuwa na majukumu mengine mengi lakini nimejitahidi mara kwa mara kuwa na muda kidogo kwa ajili ya jamii. Ilifika mahali kila mtu mwenye shida alielekezwa kwenye ukurasa huu. Japo hatukuweza kusaidia wote lakini tulijitahidi kwa kadri ya uwezo wetu kugusa maisha ya wale tulioweza kugusa.

Kutokana na wahitaji kuwa wengi ninyi wenyewe mkapendekeza tuwe na Foundation ili tuweze kusaidia watu wengi zaidi. Kwa miaka zaidi ya miwili nimekua nikishauriwa kuwa na Foundation lakini nikasita. Mwaka huu "kelele" za foundation zikawa nyingi sana. Baada ya kutafakari nikaona umuhimu wa kufanyia kazi wazo hilo.

Kwa kuwa sauti za kuanzisha foundation zilitoka kwenu nilitegemea muwe mstari wa mbele kuhakikisha wazo hilo linafanikiwa. Lakini ni bahati mbaya sana imekuwa kinyume. Mwitikio ni mdogo sana, kuliko challege yoyote ambayo tumewahi kuifanya hapa.

Hii imenifundisha kuwa watu wengi wanapenda mabadiliko lakini hawataki kuwa sehemu ya mabadiliko hayo. Mtu akipata shida anataka aje kuomba msaada hapa, lakini hataki kusaidia wazo la kuwa na taasisi itakayomsaidia yeye na wengine wengi zaidi. Hali hii sio kwamba tu inakatisha tamaa, bali pia inavunja moyo kusaidia wengine.

Anyway, kesho tutahitimisha challenge yetu, na tutaeleza msimamo wetu kuhusu huduma yetu ya kusaidia jamii, ambayo tumekuwa tukiifanya kwa muda mrefu sasa. Tujifunze kwamba, unapotaka mabadiliko hakikisha unakuwa sehemu ya mabadiliko hayo. Usipofanya wewe, hakuna wa kufanya kwa niaba yako.

Kama unataka kuona huduma ya #GiftedHeart ikikua na kugusa maisha ya watu wengi zaidi tuma mchango wako kwenda (M-PESA) 0743339247, Gwakisa Mwakitega AU (Tigopesa) 0715568653, Samson Charles Kamnde AU (AirtelMoney) 0787568653, Samson Charles Kamnde.

#GiftedHeart #RudishaTabasamu #LetLoveLead #MalisaGJ
 
Wazee wa misukule wanawafuga binadamu wenzao kama wanafuga bata vile
 
Waqinga walioko utumish wanapenda ubosi Sana, nafkir ni kutokana na uchache wao ktk kuipata formal education
 
Back
Top Bottom