Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Habari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza.
Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.
Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.