Naomba kujuzwa idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani

Naomba kujuzwa idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani

Habari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza.

Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.

View attachment 2131291
Ngoja nikupe utaratibu wangu wa ujenzi. Naenda site weekend na siku za sikukuu tu. Nanunua material inayoisha siku hio. Mfano nikianza namuuliza fundi mnaweza kujenga matofali mangapi ya msingi kwa siku? Akisema matofali 500 au 600 nanunua matofali 500 tunaingia kazini. Yakiisha hayo tutaonana weekend inayofuata mpaka nyumba inaisha,nasimamia kila hatua. Kwenye kuezeka tu ndio itabidi siku chache katikati ya wiki zihusike.
 
Ngoja nikupe utaratibu wangu wa ujenzi. Naenda site weekend na siku za sikukuu tu. Nanunua material inayoisha siku hio. Mfano nikianza namuuliza fundi mnaweza kujenga matofali mangapi ya msingi kwa siku? Akisema matofali 500 au 600 nanunua matofali 500 tunaingia kazini. Yakiisha hayo tutaonana weekend inayofuata mpaka nyumba inaisha,nasimamia kila hatua. Kwenye kuezeka tu ndio itabidi siku chache katikati ya wiki zihusike.
asante sana kwa muongozo
 
MKUU,
mzabzab USIJE KUITELEKEZA SAITI KABLA HATUA YA KUHAMIA BADO.

HEBU ANGALIA MCHANGANUO HUU MDOGO WA RAFU NILIOUFANYA HAPA CHINI KWA NYUMBA HIYO.

NIME_ASSUME SITE NI DAR.

NB: SIJAGUSA KIPENGELE CHOCHOTE CHA FINISHING YA NDANI WALA CHOO

Cc.
Unforgettable
.View attachment 2133263
Ongeza na hii list;

-Floor finishes
-Plastering
-Painting
-Ceiling works
-Electrical works
-Plumbing
-Sanitary appliances
-Doors
-Aluminium windows
-External works (Inspection chambers, septic tank, soak away pit, bio digester etc.)
-Labour charges
-Transport charges
-Dawasco
-Power connection ( Tanesco)
-Contigency ( Pesa ya dharula)

Aandae 25m +
NB: Material zinapanda bei kila siku
Budget bila usumbufu 30m ikibaki ataitumia kwa matumizi mengine.
Ukinihitaji kuandaliwa gharama nicheki PM
 
Nimazoea watu kuandaa gharama za ujenzi bila kwenda site ila huu sio utaratibu mzuri...huwa nivizuri kuona conditions ya site kwanza then ndio uadae gharama ya ujenzi.....kuna site zina mwinuko...site nyengine zipo mliman kiasi kwamba delivery ya materials ni shida...upatikanaji wa maji...etc ...changamoto huwa ni nyingi na zote hizo zinaweza kuwa tatizo....

Muaandaji gharama za ujenzi anatakiwa ayafahamu yote hayo vinginevyo tahadhari ya hali ya juu itahitajika pale anapoandaa gharama ya ujenzi
 
Nimazoea watu kuandaa gharama za ujenzi bila kwenda site ila huu sio utaratibu mzuri...huwa nivizuri kuona conditions ya site kwanza then ndio uadae gharama ya ujenzi.....kuna site zina mwinuko...site nyengine zipo mliman kiasi kwamba delivery ya materials ni shida...upatikanaji wa maji...etc ...changamoto huwa ni nyingi na zote hizo zinaweza kuwa tatizo....

Muaandaji gharama za ujenzi anatakiwa ayafahamu yote hayo vinginevyo tahadhari ya hali ya juu itahitajika pale anapoandaa gharama ya ujenzi
asante kwa angalizo litazingatiwa
 
Back
Top Bottom