Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
hata hawaji mkuuNgoja waje kukupa muongozo...
Cc. KingsmannHabari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza.
Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.
View attachment 2131291
Tofali 2400 zinabaki.Habari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza.
Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.
View attachment 2131291
Kamatulia haka...naona kama tofali 2000 tuuHabari zenu wakuu,naomba msaada wa kujua kwa uzoefu wenu idadi ya material yatakayohitajika kwa ramani hii ya nyumba na kama kuna chochote chakuongeza/kupunguza.
Fundi maiko wa kitaa atatumika gharama za kumtafuta/ kuchorewa na maengineer sina ndomana nimekuja kwenu naamini ntapata ushauri mzuri, roughly tuanze na kipi.
View attachment 2131291
Wee nipe jukumu la kusimamia hapo million 10 tunahamiahata hawaji mkuu
Thibitisha mkuu upate kazi.Wee nipe jukumu la kusimamia hapo million 10 tunahamia
Yeye aje na budget ya m10 tuu mie nashinda site napambana na mafundi. Cha msingi kwa kipindi cha ujenzi yeye anilishe na kunipa makazi
MKUU,Yeye aje na budget ya m10 tuu mie nashinda site napambana na mafundi. Cha msingi kwa kipindi cha ujenzi yeye anilishe na kunipa makazi
Ashindwe mwenyewe tuu. Yaani mie hapo nikubanana na mafundiMKUU,
mzabzab USIJE KUITELEKEZA SAITI KABLA HATUA YA KUHAMIA BADO.
HEBU ANGALIA MCHANGANUO HUU MDOGO WA RAFU NILIOUFANYA HAPA CHINI KWA NYUMBA HIYO.
NIME_ASSUME SITE NI DAR.
NB: SIJAGUSA KIPENGELE CHOCHOTE CHA FINISHING YA NDANI WALA CHOO
Cc.
Unforgettable
.View attachment 2133263
[emoji3516]Ashindwe mwenyewe tuu. Yaani mie hapo nikubanana na mafundi
weeeeeeeeWee nipe jukumu la kusimamia hapo million 10 tunahamia
asante hata hili limenitoa tongotongo,nshaona vyakuanza navyoMKUU,
mzabzab USIJE KUITELEKEZA SAITI KABLA HATUA YA KUHAMIA BADO.
HEBU ANGALIA MCHANGANUO HUU MDOGO WA RAFU NILIOUFANYA HAPA CHINI KWA NYUMBA HIYO.
NIME_ASSUME SITE NI DAR.
NB: SIJAGUSA KIPENGELE CHOCHOTE CHA FINISHING YA NDANI WALA CHOO
Cc.
Unforgettable
.View attachment 2133263
niko makini ntamtafuta[emoji3516]
BILA SHAKA MLETA MADA ATALIFIKIRIA KWA KINA.
kivipi mkuuduh.! mambo si mambo