Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Kikubwa tunaipataje hio 1.5B jamani maana hii ndio kila kitu. Yani uki diversify kama ulivyosema hapo ni bata mpaka kudedi. Ada zote zinalipwa January baada ya gawio la BOT 😂😂😂
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Swali langu: hiki chama chakavu Ccm kutokana na mwenendo wake wa kuchota pesa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii, hawawezi kuja kuchota pesa kwenye huu mfuko wa UTT na kuufilisi kiasi ukashindwa kutulipa sisi wawekezaji wake?Tumeshuhudia wanavyochota mifuko kama Nssf na NHIF bila security na kuzitumbua.
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Unyama sana naskia pia unaweza kukopea mkopo..like ukanunua nyumba au gari kwa kutumia bonds then zitajilipa mdogo mdogo na pesa yako inabaki palepale..and that's how rich people do, hawanunui assets kwa pesa yao mfukoni kama vile mo alivyotufanyia wanasimba billion 20 zikawekezwa mahali then tunalipwa mdogomdogo kwa gawio so hata baada ya kumaliza kutulipa b20 zake ziko palepale na zimezaa. Tajiri atabaki kuwa tajiri tu
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Oyaaa umetishaaa...
Nije Inbox Kwa maswali zaidi Kwa mawasiliano ya kawaida..?
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Oyaaa umetishaaa...
Nije Inbox Kwa maswali zaidi Kwa mawasiliano ya kawaida..?
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Maelezo mazuri sana mkuu.
Mimi naomba formula ya compound interest ili nijue nianze na mtaji kiasi gani UTT fund bond.
 
Kwa ufupi ni unazungumzia masoko ya fedha....Siyo mutual bonds bali ni Mutual funds.
 
Hapo kwenye 1.5b ndo kipengele,sisi jobless unatoka wapi mpunga kama huo
 
Uzi mzuri,ila huyo bwana hapo katolea mfano ukiwa na 1.5b,sasa kwa sisi ungaunga ukiwa na kati ya 20m to 50m tuanze na mfuko gani hapo ili maisha yanyooke....
 
Uzi mzuri,ila huyo bwana hapo katolea mfano ukiwa na 1.5b,sasa kwa sisi ungaunga ukiwa na kati ya 20m to 50m tuanze na mfuko gani hapo ili maisha yanyooke....
Gawa hiyo pesa uweke
Liquid
Bond
 
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.

nakupa mfano sasa ningekuwa mimi,mfano na bilioni 1.5 nataka kuwekekwangu mimi ningefanya hivi;
nafikiria kwanza maisha yangu mahitaji yangu kwa mwezi nahitaji kiasi gani cha pesa niweze kuishi kwa furaha hata kipindi nikiwa mremavu,au nimepata stroke au nimepata ulemavu wa kudumu,mfano hesabu zinasema nahitaji walau 5mil zinatosha kusave na kuhudumia familia,sasa najiuliza niweke shilingi ngapi mfuko wa Bond fund ili kila mwezi nipate milioni tano ambayo itakuwa 0.85% ya hela yote?

hesabu inakuwa hivi, 0.85%* y=5,000,000
cross multiplication now,y=589,000,000 tsh hii itakuwa monthly income na0.15% itabaki kukuza account ambyao ni 0.15%*589,000,000 =883,500 tsh hii itabaki kwa account ya UTT, sasa hapa kila mwezi nitakuwa napata mil 5, na reinvest amount ni tsh 883,500 hapa nitakuwa na uhakika wa kuishi miaka yote duniani bila kuyumba hata kipindi cha majanga ya kidunia kama maradhi sugu maana uzee una mambo mengi ni kujihami mapema kwa hiyo mil 589 kwenye 1.5bil naweka mfuko wa bond fund UTT kwa nini? uhakika wa kipato cha mwezi bila kuyumba.

haya nakuja mfuko wa pili liquid fund, najiuliza kamateali na cshflo ya 5mil kwa mwezi maisha yangu yote sasa najiuliza nataka baada ya muda flani wa kuishi duniani uzeeni yaani miaka 55 na kuendele niwe na mafuno ya ya walau bilioni moja plus kwa ajili ya starehe, halafu mfuko wa bond fund nitaufanya kama uridhi kwa familia yangu yaani mke na watoto kama nitakufa mapema,sasa UTT huwa wanatoa aproximation 12% kwa mwaka sasa wewe pigia tu 10% hii ten % kwa mfuko wa liquid fund utakuwa unafanyiwa compunded interest yaani faida jumuishi kwa kila mwezi, hapa unaweza tumia compunding caliculator kama huna say kwa 500mil, kwa sasa na miaka 30, nataka from nowkwa miaka 25 ndio nita withdraw pesa yangu yote kwenye mfuko wa liquid je nitakuwa jumla na fedha kiasi gani endapo growth %ni 10 annualy,ngoja tufanye hesabu sasa

kianzio, 500,000,000
riba kwa mwaka, 10%
muda miaka 25
jibu
utapata jumla riba utavuna tsh 4,917,353,971.6/= na jumla ya ya fedha yote yaani riba zote jumlisha mtaji utapata tsh 5,417,352,971.6/= hapa ndio power of compounding interest ya Albert Einstein innavyofanya kazi kwenye kujenga utajiri enderevu. so mwenye kingi ndio atapata zaidi. haya hadi hapa nakuwa nimewekeza bond na liquid fund UTT,jumla ya tsh 1,089,000,000 inakuwa ibeaki tsh 411,000,000.

sasa nafikiria tena pasive income nzuri nitakayoifanya nikiwa nimelala bila stress kwa pesa iliyobaki kwangu mimi nitanunua Hati fungani za serikri za muda mrefu 20 to 25 years. sasa nafanyeje? hata nitaenda kwa broker DSE , yaani soko la hisa dar es salaamu. namwambia broker nataka hati fungani ya muda mrefu, yeye atakuuliza tunanunua at per or premium au discount?,wewe mwambie nataka nishindemnada yeye atajua chakufanya, hapa atakufungulie account wanaita CDS ACCOUNT yaani ni central deposting account, ambapo utahamisha pesa yako kutoka bank kwenda kwa CDS account,hii ipo chini ya benki kuu wanaziita collectives accounts ,hata utt unapofungua account ile wanaiita collective accounts, yaani wakusanyia pesa kutoka kwa wateja then zinawekwa sehemu moja.sasa ukiingia kwa sasa website ya BOT kwa bond ya miaka 25 utapewa riba ya 12.56% kwa mwaka.

sasa tufanye hesabu 12.56%*411,000,000=51,621,600/= kwa mwaka, sawa na tsh 25,810,000/= kwamiezi sita ,maana gawio unapewa mala mbili kwa mwaka yaani kila baada ya miezi sita, sasa hapa hapa kule bond fund unakunja 5mil monthly, then after 6 months BOT wanakupa mil 25.81 kazi yako hapa ni kuimanage tu unaigawa kupata monthly unatakiwa kutumia max shilingi ngapi jibu unapata tsh 4,301,800/= sokila mwezi unahahakisha unatumia sizaidi ya 4.3mil,hapo una nyingine 5milya bond fund.


maelezo niliyotoa hapojuu ni passive liquid investiments,yaani unakuwa unapata gawio bila kuyumba compare to real estate ambayo ni illiquid,yaani kupata uhakika wa kupata passive income,unaathiriwa na factors nyingi sana so hakuna uhakika 100% wa kupata gawio. ukifanikiwakufanya hivi unaweza pia ukanunua hatifungani za serikari za kenya ili ufanye country wealth diversification.

na kwa selection ya mwisho basi utanunua hisa za makampuni haya CRDB, NMB, TBL, TWIGA CEMENT Na CIGARETTE TZ COMPANY.

Kama unaswali unaweza niuliza, nitakujibu kwakadri ya uelewa wangu niliyonao.

Ahasante nikutakie kazi njema.
Hii 3m yangu niweke wapi bond au liquid 😶
 
Back
Top Bottom