Kati ya Toyota Spacio na Toyota Wish ipi ni imara na inafaa kwenye mazingira yetu ya barabara mchanganyiko (tembea kidogo kwenye rami na kidogo kwenye vumbi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninashukuru sana kiongoziChukua WISH ni gari nzuri pia kwa barabara zetu linafaa cha msingi ni kuinua suspension za mbele ili gari yako iwe juu kidogo maana wish nyingi zinaharibika sana ile guard ya chini
Kwa nilichoona kwa shemeji yangu na jirani yetu chukua spacio.
Wish body yake inaharibika fasta ikiwa itatumika kwenye vumbi na makorongo.
Kwa nilichoona kwa shemeji yangu na jirani yetu chukua spacio.
Wish body yake inaharibika fasta ikiwa itatumika kwenye vumbi na makorongo.
Vipi kuhusu Mazda Premacy ukilinganisha na wishI would rather go for spacio than Wish...
Soacio inavumilia shida kuliko wish ...wish labda kama unaendea kazini tu na kanisani baaaasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimuonekano Hiyo mazda ni bora zaidi....lakini kumbuka tunaishi mkiani mwa dunia...so ni bora Wish coz hautapata taabu ya spea.
Wenye Spacio nao wanasema hivyohivyo, kuwa Spacio body laini.
Kiufupi gari lolote ni utunzaji na nidhamu ya service zenye ubora....kuna mtu unaweza kumpa land rover 109 akaichakaza ikaisha akamuacha mtu na passo yake anadundaWenye Spacio nao wanasema hivyohivyo, kuwa Spacio body laini.
Ninakubaliana nawe 100%. Kila mtu aliyekiona chombo changu 2014, leo hii akikiona anashangaa kuwa mbona kipo vilevile!Kiufupi gari lolote ni utunzaji na nidhamu ya service zenye ubora....kuna mtu unaweza kumpa land rover 109 akaichakaza ikaisha akamuacha mtu na passo yake anadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli kabisa. Hizo gari zote materials ni more or less the same. Kusema body la Wish ni laini kuliko Spacio wala sidhani kama ni kweli. Sema Wish ni ndefu tu (long wheelbase) sasa kwenye makorongo inahitaji umakini zaidi. Watu wengi wanaoziendesha kwa kweli wana zi abuse. Vile zinabeba watu 7, jamaa wanafikiri ni Land Cruiser. Wanataka kwenda nazo kwa bibi.Kiufupi gari lolote ni utunzaji na nidhamu ya service zenye ubora....kuna mtu unaweza kumpa land rover 109 akaichakaza ikaisha akamuacha mtu na passo yake anadunda
Sent using Jamii Forums mobile app