Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 938
- 581
Naomba msaada jamani kwa wenye ufahamu,ni kina kipi kinatakiwa kuchimbwa kwa msingi kwa ardhi ya kichanga na iliyo eneo tambalale.
KARIBUNI WADAU.
KARIBUNI WADAU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama una elimu msaidie. Jibu lako halina afya halafu ni kama unamwonea wivu tu kwa yeye kujenga. Sio wa kwanza ndio na ndio maana anauliza kwa nyie mliojenga mumpe uzoefu.Mpe fundi ajenge wewe sio wa kwanza kujenga fundi anaelewa.
Hili sio jibu? Sawa ngoja nimuonee huo wivu.Mkuu kama una elimu msaidie. Jibu lako halina afya halafu ni kama unamwonea wivu tu kwa yeye kujenga. Sio wa kwanza ndio na ndio maana anauliza kwa nyie mliojenga mumpe uzoefu.