BiasharaMafanikio-Athanas
Member
- Jul 8, 2023
- 22
- 20
Habari wakuu, naombeni ushauri, mawazo na msaada wa kupata soko kwenye biashara ya mchele. Natoa mchele wilaya mpya ya songwe, mchele ni mzuri sana.
Aliye na uhitaji nao tufanye biashara wakuu tuinuane.
Ahsanteni na Karibuni.
Aliye na uhitaji nao tufanye biashara wakuu tuinuane.
Ahsanteni na Karibuni.