Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Verso

Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Verso

zyuho

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
220
Reaction score
348
Kama kichwa cha habari hapo juu wataalam wa toyota naomba kujua dondoo za hii gari.

255712948054_status_6f75962168a9414fb1ab6537f6269006.jpg
255712948054_status_1cb48c26eb414281988d27ea5616e518.jpg
255712948054_status_d170a3cb57c14aef8f2033a00d2e1773.jpg
 
Mkuu kama ndiyo unataka kuinunua hiyo gari jitafakari mara mbili.

Kwa haraka haraka hiyo ndinga isharudiwa rangi hapo ilipo,sasa ni jukumu lako kujua sababu iliyofanya rangi irudiwe.

Pia kwa muonekano inaonekana injini yake inaangukia kwenye cc 1490
 
Mie naomba kuelimishwa ni kwa nini gari ikipigwa rangi linakuwa kosa?
Sio kosa mkuu,ila inapoteza ile nuru original iliyokuja nayo hivyo inapoteza mvuto kipindi unapotaka kufanya biashara.
 
Vigari vidogo dogo hivi huwa sina mzuka navyo kabisa.

Gari la mwanaume ni Crown,Premier au Harrier
Mkuu sijui unaishi wapi ila haya uliyoyataja ni mahsusi kwa wavulana tu na sio wanaume.
 
Back
Top Bottom