kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Umasikini mkuu, wengi wana vichenji vya kuunga unga,yaani anamiliki kitu ambacho hela yake inatosha kununua sio anachopenda yeyeAhsante ndugu..gari ni sawa na vifaa/Mashine nyingine unazoweza kununua,na sijui ni kwa nini watu huwaza jinsi ya kuuza gari lake kabla hajalinunua na wala sio kwa vifaa vingine kama TV,Radio,Sofa seats NK