mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
Ushauri wako ni mzuri ila pia mazoezi ni muhimu mno, acha kuwa na mawazo ya kumkatisha mwenzako tamaakwa umri wako ungemrudia muumba wako kuliko hiyo michezo
Kwanini usicheze ata kwaya za kanisani/ kaswidah
Ooooh saw saw mkuu... Ila mimi binafsi umri wangu ni 31. Si umri nilioutaja hapo juu.Mkuu mi binafsi ni member wa Tae kwon do na jit kwon do umahili wako katika kutumia kile ulichofunzwa ndio kinakufanya uwe bora zaidi pia incase kuna teknic hizi huwa zipi nyingi mno mkuu, we pia ukiwa na umri wa miaka hiyo unaweza fuzwa..
White belt
Yellow belt
Green belt
Blue Belt
Na hiyo miwili iliyobaki ya high level...
Saw saw mkuuMm nilifanya shotokan pale Russian culture center, nikipata sehem ya Krav Maga au Taekwondo sawa
Inategemeana na umahiri wa mtu. Na pia unaitumia wapi.Bwana we!
Kuna hizi sanaa za mapigano aina tofauti tofauti.
Maswali yangu ni haya hapa yafuatayo:
1. Hivi kuna ambazo ni hatari zaidi kuliko nyingine ama inategemea na umahiri wa mtu?
2. Ile mikanda inayotolewaga na kuvaliwa viunoni, utaratibu wake ni mmoja ama kila fani ina utoaji wake wa mikanda?
3. Kwa mtu mzima (miaka 40 - 60) ambaye anataka kuokota mbili tatu. Ni upi mchezo mzuri kwake?
Wajuzi naomba ujuzi
#Kung fu
#Boxer
#Kick boxer
#Taekwondo
#Kombat karate
#Guju ryu
#Krav maga
#Muay thai
#Jiu - jitsu (brazilian)
#Judo
#Na kadhalika
Labda alimaanisha CapoeiraJiu jitsu originated from Japan na siyo brazil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa umri wako ungemrudia muumba wako kuliko hiyo michezo
Kwanini usicheze ata kwaya za kanisani/ kaswidah
jiu jitsu n ya brazil, judo na nijitsu na karate ndo japan, ila jiu jitsu n zao la judo ila limetengenezwa na wabrazil ,.Jiu jitsu originated from Japan na siyo brazil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah! Hii michezo siwezi kuisahau! Nakumbuka wakati nasoma Kidato cha Pili nilijiunga na Guju ryu baada ya kutimiza kama wiki moja hivi nilitamani atokee Mtu nipigane nae! Sikuhiyo Mtaani nilikuta Madogo watatu kuna kademu cha Mtaani wanakizongazonga si nikajifanya Steringi wa kihindi kutuliza shoo! Kudadeki Walinidunda mpaka Akatokea Mzee mmoja Jirani kuja kuniombea! Mbona maji niliita mma [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wing Chun ndio nzuri.
Kama umri umekutupa mkono bora ununue mbundu(bastola)/uanze kusali sana/au ununue uchawi Kwa ajili ya kujilinda, Maisha ni yale yale.
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dah!Kwa umri wako ungemrudia muumba wako kuliko hiyo michezo
Kwanini usicheze ata kwaya za kanisani/ kaswidah