mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
Bwana we!
Kuna hizi sanaa za mapigano aina tofauti tofauti.
Maswali yangu ni haya hapa yafuatayo:
1. Hivi kuna ambazo ni hatari zaidi kuliko nyingine ama inategemea na umahiri wa mtu?
2. Ile mikanda inayotolewaga na kuvaliwa viunoni, utaratibu wake ni mmoja ama kila fani ina utoaji wake wa mikanda?
3. Kwa mtu mzima (miaka 40 - 60) ambaye anataka kuokota mbili tatu. Ni upi mchezo mzuri kwake?
Wajuzi naomba ujuzi
#Kung fu
#Boxer
#Kick boxer
#Taekwondo
#Kombat karate
#Guju ryu
#Krav maga
#Muay thai
#Jiu - jitsu (brazilian)
#Judo
#Na kadhalika
Kuna hizi sanaa za mapigano aina tofauti tofauti.
Maswali yangu ni haya hapa yafuatayo:
1. Hivi kuna ambazo ni hatari zaidi kuliko nyingine ama inategemea na umahiri wa mtu?
2. Ile mikanda inayotolewaga na kuvaliwa viunoni, utaratibu wake ni mmoja ama kila fani ina utoaji wake wa mikanda?
3. Kwa mtu mzima (miaka 40 - 60) ambaye anataka kuokota mbili tatu. Ni upi mchezo mzuri kwake?
Wajuzi naomba ujuzi
#Kung fu
#Boxer
#Kick boxer
#Taekwondo
#Kombat karate
#Guju ryu
#Krav maga
#Muay thai
#Jiu - jitsu (brazilian)
#Judo
#Na kadhalika