Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,777
Mimi nina miaka 29, naweza tumia martial art ipi kati ya hizo ili nisipate madhara kwenye viungo na moyo?Martial arts hutegemea na muhusika ana ubora gani katika mapambano.
Mfano hiyo krav maga huwa ni self defense martial arts ambayo inatumiwa sana na special forces za Israel haina mfumo wa mikanda wala haina kata.
Pia Muay Boran ni martial arts ambayo inatumiwa sana Thailand ni martial art isiyo na belt pia. Na ilitumiwa zaidi na askari katika vita ni hatari kubwa sana kutumia techniques zake ndiyo maana ilipunguzwa baadhi ya techniques na wakapata Muay Thai.
Martial nyingine nyingi hutumika katika mashindano ila pia hutumika majeshini kwa kuongezewa baadhi ya vitu ambavyo ni deadly.
Kuhusu umri kuna martial arts zinakuhitaji sana uanze na umri kati ili kufanya viungo visipate madhara pia katika moyo.