Naomba kujuzwa kuhusu Jeep Cherokee

ni gari nzuri nzuri sana na siko very comfotable,ila siku aina mbili ama tatu,itategemea na unakoitolea,mimi ni muuzaji wa magari kama haya japo nayaagiza toka uk! kuna jeep cherokee - diesel na petrol, pia kuna ya 3.7 petrol automatic ama manual na pia kuna ya 2.7 automatic ama manual, kwa tanzania nakushauri chukua 2.7 desel automatic! pia ziko ambazo ni leather seat na cloth pia! nafikiri utakuwa umenielewa! usichukue petrol..."itakufilisi mzee kwa tanzania!
 
Ni sawa sawa na Discovery 3.....achana na Petrol zote....chukua Diesel engine za 2.7 hazisumbui...na ni very economic kama Petrol ya 1.8ltr
 

Ushauri mzuri mwana jamvi, tunashukuru kwa elimu hiyo;lakini nimeona kupitia Beforward mengi ni toka Japani.
 
V
vipi kuhusu upatikanaji wake wa spea
 
Kwa umbo ni ka gari kadogo kama Rav 4, ila kana engine sawa na engine mbili za Rav 4. Kaweke kwenye class ya ma V8.
NB: Halafu picha uliyoweka siyo ya Cherokee.. Hiyo inaitwa Grand Cherokee!
 
Kwa umbo ni ka gari kadogo kama Rav 4, ila kana engine sawa na engine mbili za Rav 4. Kaweke kwenye class ya ma V8.
NB: Halafu picha uliyoweka siyo ya Cherokee.. Hiyo inaitwa Grand Cherokee!
Tofauti yake nn mkuu? Je utumiaji wake wa mafuta umekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…