Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon.

Dragon ni kama jina la "utani"

Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI.

Uchunguzi wangu nilioufanya umenibainisha kuwa zao hili lingali lina soko sana hapa Tanzania na hata Afrika Mashariki kwa ujumla
Nimejiridhisha kuwa ni uwekezaji sahihi kuufanya.

Naomba wadau wenye kufahamu zaidi wanijuze:
1. Ekari moja itahitaji miche mingapi?

2. Ikiwa nitaamua kununua miche kidogo kidogo, labda miche minne kila mwezi, itanichukua muda gani kukamilisha ekari moja?

3. Kuna ulazima wa kuwa na miundombinu ya umwagiliaji kwenye shamba husika?

4. Ni mambo gani ya kuzingatia sana unapoamua kufanya kilimo husika?

Ni hayo tu!

Asante[emoji120][emoji120][emoji120]
Unaweza anza kidogokidogo sana ukawa unaenda una ongeza.
 
Mmeaingia na nani? Kwani wote tunapaswa kulima matikitiki au Dragon? Forum imevamia sana hii ndio maana wengine tunaamua kukaa kimya. forum imejaa wapumbavu tupu.
kama hao wapumbuvu unaosemea ni mimi hujakosea mkuu mimi ni mpumbavu pro max🙌🏾
 
English: PITAYA

Kiswahili: MSHOKISHOKI

Jina la "utani" (aka): DRAGON FRUIT
Shokishoki nayajuwa kabla sijajuwa dragon fruits,shokishoki ni ndogo kwa size.
images (69).jpeg
Hiyo apo shokishoki
 
Kuna matunda nilliwahi kuyaona mbinga wanayaita "matunda mungu' sijui kama ni jina halisi, ni matamu sana kuliko mapapai, umbile Kama embe. Sijawahi kuyaona mkoa mwingine wowote, sijui kwa kingereza wanaitaje au historia kuwa yalitokea wapi, natamani Kama mtu anauelewa kidogo wa "matunda mungu', anieleweshe
 
Back
Top Bottom