Nipo Arusha kwa sasaUko wap mkuu
Salamu wana jukwaa kwa ujumla...
Napenda kutanguliza shukurani za dhati, kwa wote wanaotupa elimu kuhusiana na sekta ya kilimo kwa ujumla na faida zake, hasa changamoto na faida za mazao ya biashara.
Nimeshawishika sana na zao la Tumbaku kwa ujumla, na mwaka huu mwezi wa 12 napenda kuanza kilimo chake, ningependa kwa wale wazoefu wa zao hili waweze kutupa changamoto na faida zake za ujumla.
Asanteni.
very true yani hakuna zao lenye changamoto kama hilo na hata wanaojidai wamefanikiwa ni kwa sababu ya kuwanyonya wakulima wenzao yaani dhuluma kibaoMoja ya mazao biashara yakipumbavu kwa mkulima na very poor earnings Sanasana kuharibu misitu na uoto wa akili.
1. Unashughulika 12month
2. Unapambana na kazi ngumu 12month
3. Unatumia gharama kubwa maandalizi, madawa, nk
4. Unavuna kwa shida
5. Unagrade vizuri kabisa kwenye madaraja stahiki
6. Unafunga kwenye malobota
7. Unabeba kupeleka godown/warehouse for sale
8. Anakuja mnunuzi ana- value/ anakupa lowest grades ever kwenye tumbaku yako
9. Unauza kwa hasara, sababu umehujumiwa kwenye grades
10. Ukipata Malipo fanya mgawanyo wa total received bila kuondoa running cost gawanya kwa participants ...... kwakila kiwango kwa mtu mmoja gawanya kwa mwizi 12 ....
A) Average earnings before deduction of other costs kwa mwezi it will be not more than tsh 500,000.
B) Average cost per person after all other deductions kwa mwezi haitazidi 100,000 yaani total profit per year haitazid tsh 1,000,000 per head per year.
In summary usijishughulishe na biashara kichaa ya kilimo cha tumbaku utakufa maskini na utajutia muda wako.
Bora ufanye yafuatayo
1. Ufugaji..... kuku, ng'ombe wa maziwa, nguruwe nk
2. Kilimo cha matunda Hususani machungwa, machenza nk
3. Kilimo cha pamba, kahawa, chai nk
Tumbaku sio kabisaaaaa
Asante sana ndugu kwa ushauri, nitafanyie kazi uliyoniambiaMoja ya mazao biashara yakipumbavu kwa mkulima na very poor earnings Sanasana kuharibu misitu na uoto wa akili.
1. Unashughulika 12month
2. Unapambana na kazi ngumu 12month
3. Unatumia gharama kubwa maandalizi, madawa, nk
4. Unavuna kwa shida
5. Unagrade vizuri kabisa kwenye madaraja stahiki
6. Unafunga kwenye malobota
7. Unabeba kupeleka godown/warehouse for sale
8. Anakuja mnunuzi ana- value/ anakupa lowest grades ever kwenye tumbaku yako
9. Unauza kwa hasara, sababu umehujumiwa kwenye grades
10. Ukipata Malipo fanya mgawanyo wa total received bila kuondoa running cost gawanya kwa participants ...... kwakila kiwango kwa mtu mmoja gawanya kwa mwizi 12 ....
A) Average earnings before deduction of other costs kwa mwezi it will be not more than tsh 500,000.
B) Average cost per person after all other deductions kwa mwezi haitazidi 100,000 yaani total profit per year haitazid tsh 1,000,000 per head per year.
In summary usijishughulishe na biashara kichaa ya kilimo cha tumbaku utakufa maskini na utajutia muda wako.
Bora ufanye yafuatayo
1. Ufugaji..... kuku, ng'ombe wa maziwa, nguruwe nk
2. Kilimo cha matunda Hususani machungwa, machenza nk
3. Kilimo cha pamba, kahawa, chai nk
Tumbaku sio kabisaaaaa
Iyo 12 month vp yaani....maana nafahamu kufulia mbegu kunaanza mwezi wa 9, kupanda hadi kuvuna, ku grade hadi kuwa godauni mwezi wa 5 kifupi kama miezi 9 iv huku bado ukiwa na nafasi ya kufanya shughuli nyingine kama ulivyo shauri.Moja ya mazao biashara yakipumbavu kwa mkulima na very poor earnings Sanasana kuharibu misitu na uoto wa akili.
1. Unashughulika 12month
2. Unapambana na kazi ngumu 12month
3. Unatumia gharama kubwa maandalizi, madawa, nk
4. Unavuna kwa shida
5. Unagrade vizuri kabisa kwenye madaraja stahiki
6. Unafunga kwenye malobota
7. Unabeba kupeleka godown/warehouse for sale
8. Anakuja mnunuzi ana- value/ anakupa lowest grades ever kwenye tumbaku yako
9. Unauza kwa hasara, sababu umehujumiwa kwenye grades
10. Ukipata Malipo fanya mgawanyo wa total received bila kuondoa running cost gawanya kwa participants ...... kwakila kiwango kwa mtu mmoja gawanya kwa mwizi 12 ....
A) Average earnings before deduction of other costs kwa mwezi it will be not more than tsh 500,000.
B) Average cost per person after all other deductions kwa mwezi haitazidi 100,000 yaani total profit per year haitazid tsh 1,000,000 per head per year.
In summary usijishughulishe na biashara kichaa ya kilimo cha tumbaku utakufa maskini na utajutia muda wako.
Bora ufanye yafuatayo
1. Ufugaji..... kuku, ng'ombe wa maziwa, nguruwe nk
2. Kilimo cha matunda Hususani machungwa, machenza nk
3. Kilimo cha pamba, kahawa, chai nk
Tumbaku sio kabisaaaaa
Iyo 12 month vp yaani....maana nafahamu kufulia mbegu kunaanza mwezi wa 9, kupanda hadi kuvuna, ku grade hadi kuwa godauni mwezi wa 5 kifupi kama miezi 9 iv huku bado ukiwa na nafasi ya kufanya shughuli nyingine kama ulivyo shauri.
hao wanunuzi wanakupa vp? gredi mbaya ikiwa ujaridhika na bei unaruhusiwa kuondoa tumbaku sokoni
watu wanajenga kupitia tumbaku wewe wasema zao la ajabu, kama utashindwa fuata masharti ya tumbaku ni ngumu sana kupata chochote
wengi hufa maskini kwa kutegemea zao la tumbaku tu na kuacha kulima mazao mengine
sio kweli unacho zungumza ni tabia za kuamini bila wizi/ujanja ujanja hupati kitu kwenye tumbakuUkinisoma vizuri utanielewa
1. Kama unaweza kuiba
- kuweka matofali ndani ya malobota...kuongeza uzito
- kuweka miti na takataka ...kuongeza uzito
- kumhonga mpanga grade akupendelee
- kulipa kwa kuwapunja sana vibaruwa wako
2. Kama unaweza kushiriki ulanguzi....kulanguwa kutoka wenye shida kwa bei ya kuwaibia
3. Kama unaweza kutapeli nk
Ukiweza kufanya hayo mambo unaweza kupata fedha kiasi.
Kinyume na hapo nibiashara kichaa. Unaweza kufanya ukiona nachoongea sio sahihi halafu matokeo utayapata.
Na zao la tumbaku ni wastani wa miezi 12 linakutumikisha kwa Njia moja AMA nyingine.
sio kweli unacho zungumza ni tabia za kuamini bila wizi/ujanja ujanja hupati kitu kwenye tumbaku
kulima tumbaku pekee bila ya mazao mengine huwafanya wengi kuwa na njaa na kuuza tumbaku kwa bei ya kutupwa kwa walanguzi.
tumbaku inajiuza hayo ya kumuhonga mnunuzi hufanywa na wenye tumbaku za mashaka huwezi kuwa na tumbaku daraja la kwanza (L10F,L20F na mfanano wake) mnunuzi akakupa bei ya chini (LND,NO,BO na mfanano wake)
unayo sema ni mambo ya zamani sana sijui kuweka matofari, sijui kuhonga mnunuzi (siku izi wanahongwa kawaida sana sio uwazavyo )
siku izi magogo huvutwa kwa ngombe huku kukiwa na majiko ya kisasa ya kuni chache. fanya kufatilia utanambia
NB: nakubaliana na wewe kupata faida kubwa kwenye tumbaku inakupasa uwalalie baadhi ya wadau (ununue kwa kitonga uuze kwa bei kubwa)
unafurahisha mkuu kwani mie nayo zungumza wajua nayatoa wapi, iyo tumbaku naifahamu vzr kama ulilima miaka ya nyuma lazima uone nisemayo ni kujubishiaWewe mimi sio mtoto
Nimeishi vijiji hivi
Mfyeko
Lupatingatinga
Matwiga
Upendo
Zao la tumbaku linalimwa sana maeneo hayo wilaya ya chunya tarafa ya kipembawe mkowani Mbeya
Naelewa 100% ninachokiongea ..... sio tumbaku tu naelewa zaidi pia kuhusu zao la pamba nimeishi lalago...maswa huko shinyanga na nimeshughulikia pamba kwa mapana na marefu
Tumbaku kwa mkulima ni zao lakipumbavu
Therefore ubishishani usio na tija sipendi.
unafurahisha mkuu kwani mie nayo zungumza wajua nayatoa wapi, iyo tumbaku naifahamu vzr kama ulilima miaka ya nyuma lazima uone nisemayo ni kujubishia
Pamba nayo ni kupoteza muda tu.Moja ya mazao biashara yakipumbavu kwa mkulima na very poor earnings Sanasana kuharibu misitu na uoto wa akili.
1. Unashughulika 12month
2. Unapambana na kazi ngumu 12month
3. Unatumia gharama kubwa maandalizi, madawa, nk
4. Unavuna kwa shida
5. Unagrade vizuri kabisa kwenye madaraja stahiki
6. Unafunga kwenye malobota
7. Unabeba kupeleka godown/warehouse for sale
8. Anakuja mnunuzi ana- value/ anakupa lowest grades ever kwenye tumbaku yako
9. Unauza kwa hasara, sababu umehujumiwa kwenye grades
10. Ukipata Malipo fanya mgawanyo wa total received bila kuondoa running cost gawanya kwa participants ...... kwakila kiwango kwa mtu mmoja gawanya kwa mwizi 12 ....
A) Average earnings before deduction of other costs kwa mwezi it will be not more than tsh 500,000.
B) Average cost per person after all other deductions kwa mwezi haitazidi 100,000 yaani total profit per year haitazid tsh 1,000,000 per head per year.
In summary usijishughulishe na biashara kichaa ya kilimo cha tumbaku utakufa maskini na utajutia muda wako.
Bora ufanye yafuatayo
1. Ufugaji..... kuku, ng'ombe wa maziwa, nguruwe nk
2. Kilimo cha matunda Hususani machungwa, machenza nk
3. Kilimo cha pamba, kahawa, chai nk
Tumbaku sio kabisaaaaa
Pamba nayo ni kupoteza muda tu.