juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
Pole kama hapo tumia supplements zilizo na green tea zitakusaidia na za mzunguko wadamu zinazoweza kutoa Bad Cholesterol LDL (low density lipoprotein) kwenye mishipa ili damu iweze kufloor vizuri na pressure itakuwa sawa kabisa.Wakuu habari zenu? Nina miaka 35 sasa.ila nasumbuliwa na changamoto ya ugonjwa wa presha kuwa juu..Nina mieZi minne sasa tangu tatizo lianze kwa yeyote anaejua matibabu au dawa nzuri ya kuondoa kabisa hili tatizo naomba msaada tafadhali.nimeshafanya vipimo vya moyo ila hakuna tatizo lolote.uzito wangu ni kg 66.
Fuata ushauri wa madaktari na tiba wanayopendekeza achana na makanjanja,watazidi kupandisha pressure bure, mwisho utaikosa jf Bureee🤔Wakuu habari zenu? Nina miaka 35 sasa.ila nasumbuliwa na changamoto ya ugonjwa wa presha kuwa juu..Nina mieZi minne sasa tangu tatizo lianze...
Cholesterol level ikoje,uzito ukoje,kimo chako kiko sawa na uzito wako?maisha yako yakoje una ishi maisha yenye msongo mkubwa wa mawazo?unatumia chumvi au kahawa au pombe au sigara kupita kiasi?una hasira au maumivu ya kuumizwa au wasiwasi katika maisha unayoishi?jibu lolote kutoka kwenye hayo maswali litasaidia kukuelekeza nini cha kufanya...
Fuata ushauri wa madaktari na tiba wanayopendekeza achana na makanjanja,watazidi kupandisha pressure bure, mwisho utaikosa jf Bureee[emoji848]
Don't panic itakuwa cholesterol level zako haziko sawa,nenda kapime,wakikuta ziko juu utapewa dawa na pia uwe unafanya mazoezi mara kwa mara itakaa sawa,ila kwa sasa hivi punguza kula vyakula vyenye chumvi nyingi na vitu vya mafuta,ikiwezekana acha kabisa pendelea vyakula chukuchuku,itarahisisha kurudi kwenye hali yako ya kawaida mapema......Cholesterol sijapima mkuu,uzito ni kg66 ila kuhusu height pia sijui ila mi sio mrefu wala sio mfupi.nipo normal.sivuti na sinywi wala hizo chumvi nyigi sio sana.wasiwasi ninao mkuu hasa baada ya kupata taarifa za ugonjwa.
Hawa watu wa tiba mbadala kama wauza dawa za Kimasai tu, hawajui hata contents ya dawa wanazouza na wanaamini zinatibu magonjwa yote.Green Tea ina kiwango kiasi sana cha caffeine itaongeza pressure yake na palpitation
Hawa watu wa tiba mbadala kama wauza dawa za Kimasai tu, hawajui hata contents ya dawa wanazouza na wanaamini zinatibu magonjwa yote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mbna mdgo San aise Hadi kuwa na ugonjwa huo jikite kwenye maombi fukuza pepo hilo ,ugonjwa huo haukufai kbsaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Analysis of clinical research shows that green tea can reduce systolic blood pressure (the top number) by up to 3.2 mmHg and diastolic blood pressure (the bottom number) by up to 3.4 mmHg in people with or without high blood pressure.Green Tea ina kiwango kiasi sana cha caffeine itaongeza pressure yake na palpitation
An 8-ounce (230-ml) cup of green tea contains between 30 and 50 mg of caffeine. The recommended maximum amount of caffeine per day is 400 mg,Green Tea ina kiwango kiasi sana cha caffeine itaongeza pressure yake na palpitation
Kama wewe una pressure anza kunywa green tea na baada ya wiki utupe mrejesho. Usisahau green tea pia inasababisha kukosa usingizi na hivyo kukufanya uwe stressed na hivyo kupelekea kupanda kwa BP.
Disclaimer:
Mimi siyo daktari wa binadamu wala mganga wa miti shamba
Mkuu Pole kwa hayo maradhi yako nitafute kwa Wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako upate kupona.Wakuu habari zenu? Nina miaka 35 sasa.ila nasumbuliwa na changamoto ya ugonjwa wa presha kuwa juu..Nina mieZi minne sasa tangu tatizo lianze.kwa yeyote anaejua matibabu au dawa nzuri ya kuondoa kabisa hili tatizo naomba msaada tafadhali.nimeshafanya vipimo vya moyo ila hakuna tatizo lolote.uzito wangu ni kg 66.
Mengi ni mitpeli tu hakuna kituHawa watu wa tiba mbadala kama wauza dawa za Kimasai tu, hawajui hata contents ya dawa wanazouza na wanaamini zinatibu magonjwa yote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ni majani yapo kwenye zile bag ndogo nyeupe, yanakuwa paket 50 kwa box. Kuna Kilimanjaro(mimi ndio naona mazuri) na mengine yanatenezwa na Chai Bora. Huku Burundi nanunua kwa 3500.Hiyo green tea ndio mchaichai au?
Inawezekana wewe uko na attitude inayoufanya mwili uhisi kuwa na presha juu ndio ponapona yake.Kwa yeyote anaejua matibabu au dawa nzuri ya kuondoa kabisa hili tatizo naomba msaada tafadhali.
Nimeshafanya vipimo vya moyo ila hakuna tatizo lolote.uzito wangu ni kg 66.