CLICKER Senior Member Joined Dec 30, 2013 Posts 146 Reaction score 18 Jan 28, 2015 #1 kwa wanaofahamu naomba wanisaidie kuwa kukopa NMB kwa sasa ni mara ngapi ya take home salary na riba kwa miezi 60 ni kiasi gani pia ni vitu gani vinahitajika. nipo mbali kidogo na matawi ya benki ningewauliza. nawasilisha
kwa wanaofahamu naomba wanisaidie kuwa kukopa NMB kwa sasa ni mara ngapi ya take home salary na riba kwa miezi 60 ni kiasi gani pia ni vitu gani vinahitajika. nipo mbali kidogo na matawi ya benki ningewauliza. nawasilisha