Naomba kujuzwa kuhusu mkopo NMB

CLICKER

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
146
Reaction score
18
kwa wanaofahamu naomba wanisaidie kuwa kukopa NMB kwa sasa ni mara ngapi ya take home salary na riba kwa miezi 60 ni kiasi gani pia ni vitu gani vinahitajika. nipo mbali kidogo na matawi ya benki ningewauliza. nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…