Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
-
- #21
Mkuu hujanielewa kidogo swala languUkitaka kuifungua shazam kwanza kama unahitaji kuujua wimbo ht kama kipande cha nyimbo kimepiga kati kidgo tu fungua shazam then washa kile kipande cha nyimbo itakuletea msanii aliyeimba nyimbo hiyo, na unaweza kudownlaod
Sijaelewa mkuu hapa,Asante mkuu.na vp kuhusu nyimbo kutokuwepo au kuwepo humo.
Hazipo Sababu hizo nyimbo hazipatikani Apple, Google music, Spotify etc ila ikitokea zinapatikana huko ukisearch utazipata.Mbona nyimbo nyingi za bongo hazipo
Yaan kwann nyimbo znhing hazipo..ila naona ushamjib mdau mmoja hapoSijaelewa mkuu hapa,
Hivi kwanini afrika hatuna app km iz kikwazo ni nn?Shazam iko chini ya Apple baada ya kuinunua kwa $400M kutoka kwa Philip na washkaji zake walioanzisha Shazam
So na tunajua Apple Music ndio inaongoza kwa kuwa na database kubwa ya nyimbo zaidi ya 60M songs
Wamewazidi Spotify, Pandora, Amazon Music, Gaana, Angami na Boomplay
Sasa basi unaweza ona ni jinsi gani Shazam wanaweza integrate na database ya Apple Music
Ukitoa nyimbo ukaipandisha kwenye digital platforms kama Apple Music na wenzake ni rahisi kuikuta kwenye shazam
Lakini kama nyimbo haijapandishwa kwenye hizo platforms huwezi ikuta Shazam, usitegemee mwimbo wa Ugali wa Masanja utaikuta Shazam
Zinachukua muda mrefu sana, na pesa nyingi mpaka kuja kuanza kurudisha pesaHivi kwanini afrika hatuna app km iz kikwazo ni nn?