Naomba kujuzwa kuhusu Shazam application

Naomba kujuzwa kuhusu Shazam application

Ukitaka kuifungua shazam kwanza kama unahitaji kuujua wimbo ht kama kipande cha nyimbo kimepiga kati kidgo tu fungua shazam then washa kile kipande cha nyimbo itakuletea msanii aliyeimba nyimbo hiyo, na unaweza kudownlaod
Mkuu hujanielewa kidogo swala langu
 
Kwanyongeza kuna wakuitwa Song Traders.. wao ukipandisha wimbo kwao watakusambazia katika platform zote kubwa na Shazam watakua na huo wimbo.

Kutokupatikana kwa nyimbo nyingi za kibongo wasanii wanawategemea ma manager uchwara wao wawafanyie hizo kazi na pili ni ukosefu wa uelewa wa matumizi ya internet katika shughuri zao.
 
Shazam iko chini ya Apple baada ya kuinunua kwa $400M kutoka kwa Philip na washkaji zake walioanzisha Shazam

So na tunajua Apple Music ndio inaongoza kwa kuwa na database kubwa ya nyimbo zaidi ya 60M songs

Wamewazidi Spotify, Pandora, Amazon Music, Gaana, Angami na Boomplay

Sasa basi unaweza ona ni jinsi gani Shazam wanaweza integrate na database ya Apple Music

Ukitoa nyimbo ukaipandisha kwenye digital platforms kama Apple Music na wenzake ni rahisi kuikuta kwenye shazam

Lakini kama nyimbo haijapandishwa kwenye hizo platforms huwezi ikuta Shazam, usitegemee mwimbo wa Ugali wa Masanja utaikuta Shazam
Hivi kwanini afrika hatuna app km iz kikwazo ni nn?
 
Kinachofanyika wanakusanya nyimbo nyingi as they can kizingatio kikuu ni umaarufu wa hizo nyimbo kisha kuna argorithm wanatumia kuchukua samples(signature) za hizo nyimbo na kuziweka kwenye database yao.
Wewe unapoisikilizisha app hiyo nyimbo yako, inachukua signature yake na ku compare against their database, kama washachukua sample yake before ita match na kukuletea majibu, otherwise itasema haiijui.
It work the same as Biometrics identification system, Fingerprinting Identification, Face Identification, Iris identification, Voice identification etc.
 
Back
Top Bottom