Naomba kujuzwa kuhusu Solo Thang na kazi zake za sanaa

ULAMAA!!ni moja ya wasanii waliofanya jamii ikubali sanaa ya Vijana wa kizazi kile.
“VIDATO SITA NILIVYOPITIA NDIVYO VINAVYO NISAIDIA”
Wakati huo wasanii waliokwenda shule ni wakuhesabu.Mwamba yeye alijisifu na Kidato Chake cha 6.
Mpaka sasa tunao nadhani wenye Degree 2.
 
Miss tanzania ile ngoma ni ya karne mle ndani kuna tungo tata

Anamuongelea miss tanzania km mtu fulani malaya

Pili km nchi ya tanzania inavyotoa malvasia kwa wageni
Miss Tanzaniaaaaa
Nakupenda ila haujatuliaa
Sifa yako kubwa umefuliaaa
Miss Tanzaniaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…