little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Nafikiri pia Dknob naye alivipiga 6 kwa wa Enzi hizoULAMAA!!ni moja ya wasanii waliofanya jamii ikubali sanaa ya Vijana wa kizazi kile.
“VIDATO SITA NILIVYOPITIA NDIVYO VINAVYO NISAIDIA”
Wakati huo wasanii waliokwenda shule ni wakuhesabu.Mwamba yeye alijisifu na Kidato Chake cha 6.
Mpaka sasa tunao nadhani wenye Degree 2.
Gugo..Hivi Solo Thang anazo Album ngapi? Wakuu naombeni mnitajie zile ngoma kali za Solo Thang za Hip hip nizipakue. Hata zikiwa zaidi ya 20. Nataka nimjue huyu jamaa.
#forgive me
Miss TanzaniaHivi Solo Thang anazo Album ngapi? Wakuu naombeni mnitajie zile ngoma kali za Solo Thang za Hip hip nizipakue. Hata zikiwa zaidi ya 20. Nataka nimjue huyu jamaa.
#forgive me
One of my favoriteMiss Tanzaniaaaaa
Nakupenda ila haujatuliaa
Sifa yako kubwa umefuliaaa
Miss Tanzaniaaaa
Hiyo alishirikishwa na Afande Sele, itakuwa inaitwa Msimamo kama sikosei.Kuna ngoma yake nyingine anaimba sijui hakuna S bila O solo bila Thang nimeisahau sema ana nyimbo kibao kitambo kile sasa hivi sijui kama ana ngoma yoyote mpya
Mtazamo ndiyo ilimpa Tuzo ya King of Rhymes Afande Sele.Kuna ngoma yake nyingine anaimba sijui hakuna S bila O solo bila Thang nimeisahau sema ana nyimbo kibao kitambo kile sasa hivi sijui kama ana ngoma yoyote mpya
MamtoniYuko wapi huyu chaliii
Mchango wake ulikua ni mkubwa katika early stages za ukuaji wa mziki wa kizazi kipya ( kufoka foka)Mamtoni
Nick wa piliULAMAA!!ni moja ya wasanii waliofanya jamii ikubali sanaa ya Vijana wa kizazi kile.
“VIDATO SITA NILIVYOPITIA NDIVYO VINAVYO NISAIDIA”
Wakati huo wasanii waliokwenda shule ni wakuhesabu.Mwamba yeye alijisifu na Kidato Chake cha 6.
Mpaka sasa tunao nadhani wenye Degree 2.
STERIO, STOSH FELLE,CHEMICALNick wa pili
Nafikiri pia Dknob naye alivipiga 6 kwa wa Enzi hizo
Nick wa pili