Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Kupitia uzi huu tujadili uchumi wetu Wa Tanzania,
Kwa kuazia kabisa naomba wananchi wenye upeo wa hali ya juu, ili kuiwezesha mada kama hii kuwa tamu na nzuri,
1,Naomba kufahamishwa, ni wilaya ngani hapa Dar es salaam ambayo inachangia pato kubwa kwa taifa letu na ni kwa nini?
2,kati ya waafanyabiashara, wakulima, wafanyakazi mbalimbali na wajiriwa ni kundi ngani la watu kati ya hao wanachangia pato kubwa kwa taifa na ni kwa nini?
3,ukiachana na Dar es salaam ni mkoa ngani mwigine unachangia pato kubwa kwa taifa. je? vipi miundo mbinu imeimarishwa katka mkoa huo
4,Ni kwa nini? wakulima wadogodogo hawaruhusiwi kwenda kutafuta soko nchi za nje,? ili hali wafanya biashara wakubwa wanaruhusiwa.
5,Ni mkoa gani wenye madini na maliasili nyingi sana,? na maendeleo yao,, yakoje katika huo mkoa...?
6 Ni kwa nini ofisi nyingi za umma ziko Dar es salaam,??
7,Ni asilimia ngapi? ya pato la taifa linalotokana na utalii
nawakilisha kwenu waatalamu wa uchumi.
Kwa kuazia kabisa naomba wananchi wenye upeo wa hali ya juu, ili kuiwezesha mada kama hii kuwa tamu na nzuri,
1,Naomba kufahamishwa, ni wilaya ngani hapa Dar es salaam ambayo inachangia pato kubwa kwa taifa letu na ni kwa nini?
2,kati ya waafanyabiashara, wakulima, wafanyakazi mbalimbali na wajiriwa ni kundi ngani la watu kati ya hao wanachangia pato kubwa kwa taifa na ni kwa nini?
3,ukiachana na Dar es salaam ni mkoa ngani mwigine unachangia pato kubwa kwa taifa. je? vipi miundo mbinu imeimarishwa katka mkoa huo
4,Ni kwa nini? wakulima wadogodogo hawaruhusiwi kwenda kutafuta soko nchi za nje,? ili hali wafanya biashara wakubwa wanaruhusiwa.
5,Ni mkoa gani wenye madini na maliasili nyingi sana,? na maendeleo yao,, yakoje katika huo mkoa...?
6 Ni kwa nini ofisi nyingi za umma ziko Dar es salaam,??
7,Ni asilimia ngapi? ya pato la taifa linalotokana na utalii
nawakilisha kwenu waatalamu wa uchumi.