Naomba kujuzwa kuhusu Uchumi wa Tanzania


Mawazo mazuri kiongozi, bg up sana
 

Leo umenikela sana nimeona nikufuate huku huku, wewe unafikiri ni mada gani zinazotakiwa kujadailiwa jf.
 
Last edited by a moderator:
Uchumi wa tanzania umeongezeka kwa kasi sana kwa asilimia 7.5 hivyo umeufanya tanzania kuwa kifua mbele miongoni mwa nchi nyingi sana!

I'm confused here uchumi wa Tanzania umepanda kivipi? mbona kila kukicha fedha yetu (Shilingi) naona kama inazidi kushuka dhamani? au labda nina uelewa mdogo na mswala ya uchumi?😕 😕
 
Ask Ndulu and the Minister of Finance! They have no idea what is happening! Only we are suffering!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…