Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
ndo mana mnaweuka sanaya ngaramtoni na donyosambu tunakulaga kama mboga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo mana mnaweuka sanaya ngaramtoni na donyosambu tunakulaga kama mboga
Ije he!Sumbawanga itakuja lini ?
Chizi kweli wew hahaha umenichekeshaIje he!
Mroge wasanii waimbe mwaka mzima waone ni usiku mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zanguWaliacha kwenda kwa sababu ile fiesta ya mwaka 2011kama sikosei,machalii waligeuza uwanja wa Shekh Amri Abed ilipofanyika Fiesta kuwa Bucha kwani machalii walichomana visu na kujeruhiana.
ahahahahahahaHilo jina lenyewe linatisha
......waoo....wana pata zile hits zao especially digi digi by jambo squadmkuu hao machali wa arusha ni hatari kwa afya...sidhani kama utampeleka man fongo au sholo mwamba wakamwelewa...wao wanawaelewaga chindo na jambo squad
Hapana. Ikitoka Moshi ambayo ni usiku huu wa leo Sep 25, 2016 Jumamosi ijayo Okt 1,2016 inakwenda Arusha Sheikh Amri Abeid Kaluta Stadium. Officially confirmed, sikiliza CloudsFMIkitoka Mbeya itakuja Arusha
Chindo aka Mbwa mzee yupo wapi huyu chalii siku hizi?!!mkuu hao machali wa arusha ni hatari kwa afya...sidhani kama utampeleka man fongo au sholo mwamba wakamwelewa...wao wanawaelewaga chindo na jambo squad
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu
Wale wamepinda ,mi nilisoma na jamaa mmoja wa chuga anakwambia alivyozaliwa tu babyshow visuNasikia ganja ndio zao kuu la biashara kule
Jamani shiuyang swanga haiko hvyo ufikiriavyo no mji uko poa sanaIje he!
Mroge wasanii waimbe mwaka mzima waone ni usiku mmoja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani shiuyang swanga haiko hvyo ufikiriavyo no mji uko poa sana