Labdjainase
Member
- Jun 11, 2017
- 17
- 18
Mtoto ana umri gani? Shule za serikali Ni free, labda Hana uwezo wa ada kwa shule za privateHabari, naomba msaada wa wa haki ya mtoto kutoka kwa baba yake.
Mahitaji ya mtoto pamoja na ada.
ni mahakama gani natakiwa kwenda
Asante
Anataka mwanae nae apelekwe international school!Jiandae kupokea debe 2 za mahindi na elfu 20 ya mboga na mengineyo.
Kuhusu ada. Serikali inatoa elimu bure iyo ada niyanini tena.
naomba kufahamu kwa ufupi imekuwaje mpaka umefikia hatua hii, what is wrong kwa mzee baba?Habari,
naomba msaada wa wa haki ya mtoto kutoka kwa baba yake.
Mahitaji ya mtoto pamoja na ada.
Ni mahakama gani natakiwa kwenda.
Asante
Nakuomba usisubutu kwenda huko maana sheria itakua ya zamani sasa itatolewa hukumu itakuacha hoi unafikili kwa nin wabunge hawataki kuiboresha hii sheria ya malezi ya watoto!!!Wanajua itawabana nakushauri kaa na mwenza wako mjadiri sio unamletea jeuri mwanaumeHabari,
naomba msaada wa wa haki ya mtoto kutoka kwa baba yake.
Mahitaji ya mtoto pamoja na ada.
Ni mahakama gani natakiwa kwenda.
Asante
Asante kwa ushauriNakuomba usisubutu kwenda huko maana sheria itakua ya zamani sasa itatolewa hukumu itakuacha hoi unafikili kwa nin wabunge hawataki kuiboresha hii sheria ya malezi ya watoto!!!Wanajua itawabana nakushauri kaa na mwenza wako mjadiri sio unamletea jeuri mwanaume
Pole sana aisee ushauri wangu kaa chini mjadili hili suala na mzazi mwenzako kuna shoga angu alienda huko mzazi mwenzie anauwezo tu ila hela aliyoamuliwa alipe kwa mwezi ni simanzi kwa kweli.Habari,
naomba msaada wa wa haki ya mtoto kutoka kwa baba yake.
Mahitaji ya mtoto pamoja na ada.
Ni mahakama gani natakiwa kwenda.
Asante
Asante kwa ushauriPole sana aisee ushauri wangu kaa chini mjadili hili suala na mzazi mwenzako kuna shoga angu alienda huko mzazi mwenzie anauwezo tu ila hela aliyoamuliwa alipe kwa mwezi ni simanzi kwa kweli.
Asante,kwa ushauri ubarikiwePole mtoa hoja shida hapa tumo ndani a pithole country ilitakiwa tuwe na maintenence court, nakushauri Wayne social officials, tafuta lawyer ili upate garnish order dhidi ya kipato cha mzazi mwenzako, if possible uwe na DNA partenity test kuhusu mtoto (results ziwe positive),good luck
Haya mambo yalimshinda Mobeto pamoja na mbwembwe zake zote, Diamond analipa anachoona sahihi tu ila sheria ni 70,000 kwa mwezi πππPole sana aisee ushauri wangu kaa chini mjadili hili suala na mzazi mwenzako kuna shoga angu alienda huko mzazi mwenzie anauwezo tu ila hela aliyoamuliwa alipe kwa mwezi ni simanzi kwa kweli.
Huu mtindo unafanya kazi vizuri ulaya sio bongoπππ kama hesabu ulikuwa ubebe mimba kisha uje kumtwisha jukumu la malezi mwezio utashangaa na roho yako.Habari,
naomba msaada wa wa haki ya mtoto kutoka kwa baba yake.
Mahitaji ya mtoto pamoja na ada.
Ni mahakama gani natakiwa kwenda.
Asante