Naomba kujuzwa mahitaji ya mtoto mahakamani

Tatzo lenu mnakurupukaga tu,muwe mnawachunguza kwanza wanaume wenu kama wako tayari kuwa na watoto ikibidi kaa umuulize kama yupo tayari kuwa na mtoto

Naamini kama mwanaume ameamua kuwa na mtoto hawezi kuacha kumhudumia
 
Bongo ukileta zile sheria za ulaya, kesho tu utakuta ndoa zote zimevunjika na mamilioni ya kesi mahakamani watu wakidai matunzo, maana hawa ndugu zetu huku wanapenda sana mteremko.
 
Tunapokuwa kwenye mahusiano tusipende sana mambo yatokee kwa bahati mbaya, kama ni kuzaa ni vyema mkubaliane ili kila mtu abebe majukumu yake, kwenye kuzaa isiwe mimba zinashikwa tu bahati mbaya au kwa mitego bali kuwa na makubaliano pande mbili.

Unaweza ukanyanduana na mtu kumbe shida yake ni kunyanduana na hayuko tayari kukuona na mtumbo au mtoto.
 
Haya mambo yalimshinda Mobeto pamoja na mbwembwe zake zote, Diamond analipa anachoona sahihi tu ila sheria ni 70,000 kwa mwezi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha kabisa ndio maana nasema ni simanzi alikuja kuambiwa atoe Tshs. 50,000/= kwa mwezi imagine na baby dady ni HoD tunapofanyia kazi mwenye ngazi ya mshahara LSS.... Jamaniii hatukuamini kilichotokea
 
Acha kabisa ndio maana nasema ni simanzi alikuja kuambiwa atoe Tshs. 50,000/= kwa mwezi imagine na baby dady ni HoD tunapofanyia kazi mwenye ngazi ya mshahara LSS.... Jamaniii hatukuamini kilichotokea
Kosa la Wanawake wanaotegesha Mimba kwa ajili ya matunzo na ada,mnakuwa mnawaza zile private schools za ada kubwa, lakini mwisho wa siku hizo shule siyo za Serekali, ndiyo maana Serekali haiwezi ropoka hizo ada uko Mahakamani, sisi elimu yetu ni bure, ndiyo maana mnaishiwa kupewa 50000 kwa mwezi kwa ajili ya Msosi na mengineyo!!!
 
Nakushauri km huna ulemavu wa aina yoyote pambana mwenyewe, mambo ya kuanza kufuatiliana ustawi wa jamii ni kujidhalilisha, kumbuka mtoto ni wa watu wawili
Kuna mjinga mmoja ana hizo mambo
 
Nakuona mwanaharakati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…