Mimi kwa sasa sina nimepoteza nadhami nilimuazima mtu ametimka nayo na mimi sikumbuki ni nani. Mimi nakuwa nayo kwa matumizi yangu binafsi, nilikuwa na Benz A class iliwaka engine light ndiyo nilinunua lakini haikuweza kuizima,Zipi nzuri zaidi mkuu
Je hiyo mashine yako ushajaribu katika gari ngapi tofauti tofauti!? Na matokeo yake je!?
Mimi kwa sasa sina nimepoteza nadhami nilimuazima mtu ametimka nayo na mimi sikumbuki ni nani. Mimi nakuwa nayo kwa matumizi yangu binafsi, nilikuwa na Benz A class iliwaka engine light ndiyo nilinunua lakini haikuweza kuizima, nikawa na Nissan primera ikazima, nikatumia kusoma kwenye Kia ikakubali na gari nyingine kama 2 hivi sizikumbuki ikakubali. Kwa swali la ipi ni nzuri mimi binafsi ninapenda hizo hand held hazina mzunguko mrefu kama hizo za bluetooth au wifi.
Mkuu nishauri ipi nzuri kwa Nissan xtrail t30 ya mwaka 2003 inayotumia petrolimakaveli10,
Hizi mashine zipo za aina mbili au zaidi. Kuna ambazo unachomeka kwenye gari halafu inatumia bluetooth kuwasiliana na simu/ laptop, ambapo humo unapakua software yake ndipo ifanye kazi.
Aina hizo huwa zinakuwa na updates kwa kuwa zinasoma kutokea kwenye servers za hao wenye huo mfumo. Aina ya pili ni ya hand held device ambayo imekamilishwa kuwasiliana na OBD/ gari na kukupa jibu, hizo hazihitaji update.
Mkuu, hivyo vifaa ni vingi na unajipatia kufuatana na uwezo. Kwa sasa sifahamu Xtrail reader model gani inasoma hadi nitafuteMkuu nishauri ipi nzuri kwa Nissan xtrail t30 ya mwaka 2003 inayotumia petroli