Naomba kujuzwa mshahara wa Afisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo

Naomba kujuzwa mshahara wa Afisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo

Be_fm47

New Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2
Reaction score
3
Habari Team,

Mwenye kujua ni kiasi gani afisa mikopo wa loan board analipwa kuanzia basic salary
 
Chonde chonde nakuomba ukipata hiyo kazi ukaifanye kwa uadilifu wa hali ya juu. Maafisa mkopo wa HESLB wamefanya nikione chuo kigumu sana enzi zile nasomea udaktari, mkishakaa kwenye vile viti vyenu vya kuzunguka zunguka mnakuaga na dharau na kujiona miungu watu sana.

Madogo wanapambana wanasoma kwa bidii wanafika chuo, wanaapply mikopo na wapo eligible then zinapotokea changamoto wasipoingiziwa pesa zao kwa uzembe wenu wakituma wawakilishi kufatilia mnawapoza kisiasa, wakija wenyewe kufatilia mnawajibu majibu ya nyodo na dharau juu.
 
Chonde chonde nakuomba ukipata hiyo kazi ukaifanye kwa uadilifu wa hali ya juu. Maafisa mkopo wa HESLB wamefanya nikione chuo kigumu sana enzi zile nasomea udaktari, mkishakaa kwenye vile viti vyenu vya kuzunguka zunguka mnakuaga na dharau na kujiona miungu watu sana.

Madogo wanapambana wanasoma kwa bidii wanafika chuo, wanaapply mikopo na wapo eligible then zinapotokea changamoto wasipoingiziwa pesa zao kwa uzembe wenu wakituma wawakilishi kufatilia mnawapoza kisiasa, wakija wenyewe kufatilia mnawajibu majibu ya nyodo na dharau juu.
Neno , " MUNGU MTU" unalielewaje?
" MUNGU MTU" ni mmoja tu naye ni "YESU KRISTO". Yeye ni " MUNGU asilimia 100 na ni MTU asilimia 100( ROHO ya YESU ni MUNGU, MWILI wa YESU ni MTU).
SIFA ya MUNGU ni kutumikia siyo kutumikiwa .Na kama yupo mtu anatafuta kunyenyekewa ili atoe huduma ambayo ni sehemu ya wajibu wake basi hayo ni matumizi mabaya ya madaraka(Abuse of power).
 
Neno , " MUNGU MTU" unalielewaje?
" MUNGU MTU" ni mmoja tu naye ni "YESU KRISTO". Yeye ni " MUNGU asilimia 100 na ni MTU asilimia 100( ROHO ya YESU ni MUNGU, MWILI wa YESU ni MTU).
SIFA ya MUNGU ni kutumikia siyo kutumikiwa .Na kama yupo mtu anatafuta kunyenyekewa ili atoe huduma ambayo ni sehemu ya wajibu wake basi hayo ni matumizi mabaya ya madaraka(Abuse of power).
MUNGU NI MMOJA TU , ALLAH
ACHA KUMDHULUMU KWA KUMSHIRIKISHA NA MTUME WAKE NDUGU
NABII ISSA (YESU) {PBUH} SIO MUNGU
NI MTUME KAMA WALIVYO MITUME WENGINE
MAY ALLAH GUIDE YOU
 
Back
Top Bottom