Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Basic si ni kabla ya makato yoyote yale au?Hiyo ni Basic na sio Gross.
So usi underestimate sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basic si ni kabla ya makato yoyote yale au?Hiyo ni Basic na sio Gross.
So usi underestimate sana
Tango pori kubwa toka Amazon forestMkuu Tanesco wanajilipa mshahara yani lile shirika ni kama la hao staff wa Tanesco hizi hela za LUKU tunazolipa ndio wanazitumia kuendesha shirika pamoja na kujilipa mishahara ni kama EWURA tu so inaweza fika kipindi mlinzi akalipa hadi milioni tano kwa mwezi ni maamuzi yao.
ha ha ha ha ha niambie lini Tanesco wameingizwa kwenye lawson usikute nachat na mwanachuo leo hajaingia darasani ume jongoTango pori kubwa toka Amazon forest
Tanesco Haajiri Mlinzi mkuu ila ana security officer tu na lakini Tanesco analipia huduma hii toka kwa Private Company(Husika) na SUMA JKT kwa sasa, hivyo hauko sahihi ulichoongea Mkuu.Mkuu Tanesco wanajilipa mshahara yani lile shirika ni kama la hao staff wa Tanesco hizi hela za LUKU tunazolipa ndio wanazitumia kuendesha shirika pamoja na kujilipa mishahara ni kama EWURA tu so inaweza fika kipindi mlinzi akalipa hadi milioni tano kwa mwezi ni maamuzi yao.
Kumbe omefocus kwenye kazi yako ya ulinzi iyo niliweka kama kionjo ili habari ieleweke mkuu vipi kuhusu facts nyingineTanesco Haajiri Mlinzi mkuu ila ana security officer tu na lakini Tanesco analipia huduma hii toka kwa Private Company(Husika) na SUMA JKT kwa sasa,hivyo hauko sahihi ulichoongea Mkuu.
800,000/= Tsh
duh!!Kwa TPA huo ni mshahara wa secretary.
duh!!
ndo maana watu walikuwa mpk wanahonga ili wapate hukoTPA wana mishahara ya maana mkuu,now labda wabanwe na jiwe tena kwenye madili na ot ila hku kwingine mambo safi.
Sasa inakuwaje TANESCO na TANROADS wamepishana kidogo tuu kwnye kuwalipa watumishi wao na wakati mlinzi wa TANESCO kwa sasa anakimbilia kulipwa 5.M 😂Mkuu Tanesco wanajilipa mshahara yani lile shirika ni kama la hao staff wa Tanesco hizi hela za LUKU tunazolipa ndio wanazitumia kuendesha shirika pamoja na kujilipa mishahara ni kama EWURA tu so inaweza fika kipindi mlinzi akalipa hadi milioni tano kwa mwezi ni maamuzi yao.