Naomba kujuzwa mshahara wa Senior Planning Officer Tanzania Ports Authority (TPA)

Naomba kujuzwa mshahara wa Senior Planning Officer Tanzania Ports Authority (TPA)

Mkuu Tanesco wanajilipa mshahara yani lile shirika ni kama la hao staff wa Tanesco hizi hela za LUKU tunazolipa ndio wanazitumia kuendesha shirika pamoja na kujilipa mishahara ni kama EWURA tu so inaweza fika kipindi mlinzi akalipa hadi milioni tano kwa mwezi ni maamuzi yao.
Tanesco Haajiri Mlinzi mkuu ila ana security officer tu na lakini Tanesco analipia huduma hii toka kwa Private Company(Husika) na SUMA JKT kwa sasa, hivyo hauko sahihi ulichoongea Mkuu.
 
Kadri miaka inavozidi kukatika ndivyo na idadi kubwa ya vijana wanaoingia kwenye soko la ajira kujikuta wanaomba kufanya kazi wasizopenda kuzifanya kwasababu ya kuangalia mishahara tu.

Niwahusie vijana: Ukifanya kazi unayoipenda ni wazi utaifanya kwa umahiri kwa weledi na kwa bidii. Na bila shaka utapata mafanikio makubwa, makubwa zaidi mara kenda ya mafanikio utakayoyapata kwenye kazi uliyoikimbilia kwaajili ya mshahara mkubwa.

Ukikaa na kutafakari utanielewa.
 
Tanesco Haajiri Mlinzi mkuu ila ana security officer tu na lakini Tanesco analipia huduma hii toka kwa Private Company(Husika) na SUMA JKT kwa sasa,hivyo hauko sahihi ulichoongea Mkuu.
Kumbe omefocus kwenye kazi yako ya ulinzi iyo niliweka kama kionjo ili habari ieleweke mkuu vipi kuhusu facts nyingine
 
Mkuu Tanesco wanajilipa mshahara yani lile shirika ni kama la hao staff wa Tanesco hizi hela za LUKU tunazolipa ndio wanazitumia kuendesha shirika pamoja na kujilipa mishahara ni kama EWURA tu so inaweza fika kipindi mlinzi akalipa hadi milioni tano kwa mwezi ni maamuzi yao.
Sasa inakuwaje TANESCO na TANROADS wamepishana kidogo tuu kwnye kuwalipa watumishi wao na wakati mlinzi wa TANESCO kwa sasa anakimbilia kulipwa 5.M 😂
 
Back
Top Bottom