Naomba kujuzwa mtaa wanaouza Vifaa vya Stationery hasa Rimu paper kwa bei rahisi.

Naomba kujuzwa mtaa wanaouza Vifaa vya Stationery hasa Rimu paper kwa bei rahisi.

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Nahitaji hivi vifaa kwa bei nzuri na ya jumla, hasa rimu paper, bei yake ikoje kwa kariakoo, mtaa gani vinapatikana kwa wingi?
Au ndio haya haya maeneo karibu na kanisa la kkt, Magila na Muhonda? Je specifically wapi wana bei iliyopoa?
Mwanza nako kwa aliyeko kule wanauzaje?

Mashine za Photocopy, Printers navyo naomba kujua.
 
Nahitaji hivi vifaa kwa bei nzuri na ya jumla, hasa rimu paper, bei yake ikoje kwa kariakoo, mtaa gani vinapatikana kwa wingi?
Au ndio haya haya maeneo karibu na kanisa la kkt, Magila na Muhonda? Je specifically wapi wana bei iliyopoa?
Mwanza nako kwa aliyeko kule wanauzaje?

Mashine za Photocopy, Printers navyo naomba kujua.
Nenda Pale uhuru na msimbazi
Nenda mtaa wa congo kama unaelekea mnazi mmoja
Nenda mtaa wa kipata Kuna maduka ya jumla stationery
 
Back
Top Bottom