Naomba kujuzwa mtaji unaotosha kufungua duka la vifaa vya umeme

Naomba kujuzwa mtaji unaotosha kufungua duka la vifaa vya umeme

Joined
Jan 23, 2020
Posts
13
Reaction score
6
Habari, naitwa Ephraim nikijana mdogo nimetoka VETA miaka miwili nyuma natamani nifanye biashara ya kuuza VIFAA VYA umeme Maana ndio taaluma niliyosoma kwa ngazi ya cheti Na level III.

Pia Ni fundi mzuri naweza kufunga wiring ya nyumba vizuri from the scratch mpaka finishing.

Changamoto ninayopitia huku mtaani Kwanza Ni kutambulika Na kuaminiwa kwa urahisi Jambo ambalo linanisukuma kutaka kufanya biashara ya kuuza VIFAA VYA umeme.

Naomba wenye uzoefu Na mafundi wenzangu mnisaidie ushauri Tafadhali.
 
Habari,

Vifaa Vya Umeme Kwa sasa bei imepanda kiasi, tho bado unaweza kupambana.

Mtaji wowote unafaa kuanzia iwe laki 5 hadi 50m kuendelea.

unaweza kuanza na ulichonacho, biashara inapokua na mtaji utakua au utapata namna Zaidi ka kukopesheka
 
Habari,

Vifaa Vya Umeme Kwa sasa bei imepanda kiasi, tho bado unaweza kupambana.

Mtaji wowote unafaa kuanzia iwe laki 5 hadi 50m kuendelea.

unaweza kuanza na ulichonacho, biashara inapokua na mtaji utakua au utapata namna Zaidi ka kukopesheka
Saf
 
Hakuna mtaji unaotosha .. ww ukitaka kuanza anza na hatua za awali mpaka nyumba inawaka umeme ..Mainswtch>circuitbreaker>earthwaya>earthrod>6mm>waya1.5/2.5>squarebox>holder>swtch>conduictpipe>misumar>roundbox,elbow>solutiontape
 
Ushauri wangu:-
1 Taja eneo la biashara mfano unataka kufungua Kariakoo,Ilala,Mbezi au mikoani walengwa wako kwanza wanunuzi wenye hali duni au wenye hela zao.(Kila eneo kuna mtaji wake wa biashara)
2 Biashara hii lengo lako uwe na duka tu au pamoja na kufanya tenda za ufundi?
3 Umeshafanya utafiti wa eneo unalotaka kufungua hio biashara ya umeme au bado?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Back
Top Bottom