Naomba kujuzwa na wajuzi kuhusu faida na hasara za gari inayotumia disbutor na inayotumia coil

Naomba kujuzwa na wajuzi kuhusu faida na hasara za gari inayotumia disbutor na inayotumia coil

troiker

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
1,551
Reaction score
2,573
Wanajukwaa kama kichwa cha habari hapo juu.

Nataka kununua gari moja Kati ya hizi mbili, zote ni model moja,lakini moja inatumia disbutor na nyingine inatumia coil.kati hizi ipi itanifaa?

Naomba faida na hasara za gari inayotumia coil na ile inayotumia disbutor
 
nijuavyo gari nyingi zinatumia distrubutor na moto wake unatoka katika coil au umeme unaopelela moto kwenye plug.
kwa sasa wameacha kutumia coil
 
Back
Top Bottom