Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Wadau naomba tujuzane mbinu za kupata bati za kampuni bora kabisa ili tuokoane kwa hasara tunazozipata mara kwa mara.
Maana kuna utitiri wa viwanda vya mabati jambo ambalo limepelekea tunapaua nyumba zetu kwa kununua bati kichwa kichwa,bati zenyewe zikipigwa na jua miezi 6 tu zinapauka balaa kama kadeti za kichina.
Je, ni kampuni gani zinaweza kua msaada?
Twende kiwandani moja kwa moja au kwa mawakala?
Tuokoane wadau!
Maana kuna utitiri wa viwanda vya mabati jambo ambalo limepelekea tunapaua nyumba zetu kwa kununua bati kichwa kichwa,bati zenyewe zikipigwa na jua miezi 6 tu zinapauka balaa kama kadeti za kichina.
Je, ni kampuni gani zinaweza kua msaada?
Twende kiwandani moja kwa moja au kwa mawakala?
Tuokoane wadau!