Naomba kujuzwa namna ya kuuza sandle za kimasai zenye shanga nchini Botswana

Allen key

Member
Joined
Jan 2, 2019
Posts
56
Reaction score
34
Ndgu wanajamiiforams naombeni msaada wa kuelekezwa namna ya kufikisha viatu hivi katika soko la nchini Botswana kwani naamini kuna watu watanisaidia jinsi ya kuifikisha huko, na bei huko wananunua kwa pula ngapi?
View attachment 2478075
 
Tafuta vibali au vichomwe Moto Kama vifaraga😅😅
 
Ndgu wanajamiiforams naombeni msaada wa kuelekezwa namna ya kufikisha viatu hivi katika soko la nchini Botswana kwani naamini kuna watu watanisaidia jinsi ya kuifikisha huko, na bei huko wananunua kwa pula ngapi?
unauliza bei ya jumla ya tanzania?
 
Mkuu Botswana 🇧🇼 ipo straight, haina kona kona kama kwetu hapa, ni muhimu ufanye biashara yako kihalali, kama upo Dar fika kwenye embassy yao onana na maafisa pale watakupa mwongozo au drop email kwao, pia kuna mkenya ana min bus anafanya biashara hii kutokea Kenya na route yake ni Namanga,Dodoma,Iringa, Mbeya then tunduma border with luck unaweza kumwona na kumuulizia the way forward kwa biashara hii,good luck
 
Asante sana kwa ushauri wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…