Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Aongezee anunue passoIkumbukwe pkpk zinachangia kuvunja watu miguu na kuua kwa ajali za kila leo. Nakushauri hiyo hela yako ongezea nunua hata kigari cha 650cc uwe salama japo kwa asilimia kadhaa. Ni ushauri tu.View attachment 1724321