Naomba kujuzwa, programu ya kilimo ya Waziri Bashe iliihusisha Zanzibar?

Naomba kujuzwa, programu ya kilimo ya Waziri Bashe iliihusisha Zanzibar?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Majuzi nilikuwa matembezini zanzibar, nilichokishuhudia ardhi yao si ya kutosha kwa kilimo kikubwa kile cha kimkakati, ambacho unaweza kuita kama kilimo haswa,

Nikatafakari je haiwezekani kukapatikana vijana 300-500 wa kizanzibar wakaanzishiwa program ya kilimo, aidha Mkoani Morogoro au Tabora, ili vijana wa Kizanzibar nao wasiachwe nyuma, katika program hii adhimu sana, ya kulisha taifa na Watanzania kwa ujumla wake,

Hawa vijana waje bara wajengewe makazi ya kudumu, kwani ni hatari sana kuwaacha vijana wakiwa hawajui wafanye nini, this will ensure!

#stable Zanzibar, peace all time and health future!
 
Mkuu ulitembelea Zanzibar sehemu gani ambako hakuna maeneo ya Kilimo? Mimi maeneo ya Kilimo nayaona yamejaa mengi tu
 
Kilimo wafanye kwao huko huko, kwakua wanaona ardhi yao inatosheleza kwa mahitaji yao wenyewe watulize makalio kwao 🚮🚮🚮
 
Mkuu ulitembelea Zanzibar sehemu gani ambako hakuna maeneo ya Kilimo? Mimi maeneo ya Kilimo nayaona yamejaa mengi tu
Zanzibar yote ina square kilometers 2.4, kwa uwekezaji ambao inaudhamiria ardhi hiyo ni ndogo sana, zanzibar by future itakuwa ni eneo la kitalii zaidi (same to dubai)
 
kwani Bashe anaongoza wizara iliyopo kwenye muungano?. Hao wabaki huko huko Zanzibar. Ila hivi kweli unaweza kupata vijana 300 wakizanzibari wanaowaza kilimo?, na wasi wasi utateseka sana kuwapata
 
减少桑给巴尔的年轻一代非常重要,因此即使在选举之后,这也可以减少混乱,我们投资和一些投资者,混乱是敌人,所以目标不会实现,冷静对投资者友好!
 
Back
Top Bottom