Naomba kujuzwa Riba mpya za mabenki kwa wakopaji

Naomba kujuzwa Riba mpya za mabenki kwa wakopaji

kipoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
370
Reaction score
296
Habari wadau?

Mwenye kujua kwa sasa RIBA mpya za mabenki baada ya tamko la serikali kuiagiza BOT ishushe riba kwa mabenki ili nazo zishushe kwa wakopaji wao, atujuze!
 
Watu wanawekeza fedha halafu ashushe riba kizembe

Wewe hela yako ni kula bata tu

Subiri, riba zinaendelea kupanda kama kama unaona ni kubwa basi usikope tu
 
Watu wanawekeza fedha halafu ashushe riba kizembe

Wewe hela yako ni kula bata tu

Subiri, riba zinaendelea kupanda kama kama unaona ni kubwa basi usikope tu
Yeye za kwake ananywea bia anataka akakope za wenzake kwa bei rahisi
 
Kwasasa,
Mfumuko wa Bei Uko juu Sana,

Serikali ikijichanganya tu kushusha riba, tumekwisha[emoji3525]
 
Watu wanawekeza fedha halafu ashushe riba kizembe

Wewe hela yako ni kula bata tu

Subiri, riba zinaendelea kupanda kama kama unaona ni kubwa basi usikope tu
Kama huna cha kuandika tulia
 
Habari wadau?

Mwenye kujua kwa sasa RIBA mpya za mabenki baada ya tamko la serikali kuiagiza BOT ishushe riba kwa mabenki ili nazo zishushe kwa wakopaji wao, atujuze!
Siasa kitu hatari naweza sema mh Rais alisema ila ikumbukwe ndani ya neno lake kuna mengi.. unajuwa nn? Kasome vyema riba na Uhisilam ndio ujuwe hata hiyo riba anatamani isiwepo nadhani mtafurahi. End
 
Siasa kitu hatari naweza sema mh Rais alisema ila ikumbukwe ndani ya neno lake kuna mengi.. unajuwa nn? Kasome vyema riba na Uhisilam ndio ujuwe hata hiyo riba anatamani isiwepo nadhani mtafurahi. EEn
Rudi kwenye njia, toa maelezo kuelekea point
 
Habari wadau?

Mwenye kujua kwa sasa RIBA mpya za mabenki baada ya tamko la serikali kuiagiza BOT ishushe riba kwa mabenki ili nazo zishushe kwa wakopaji wao, atujuze!
Hotuba au matamko ya yule mama ukingoja utekelezaji wake utaumiza akili yako. Vitu anaongea kwa nadharia. Anaahidi vitu au huduma kushuka bei na huku bei ya mafuta ya magari inapandishwa, usawaziko huwezi upata.
 
Habari wadau?

Mwenye kujua kwa sasa RIBA mpya za mabenki baada ya tamko la serikali kuiagiza BOT ishushe riba kwa mabenki ili nazo zishushe kwa wakopaji wao, atujuze!
nenda banki husika mkuu
sisi sio bank Mkuu

Mambo hayo uyaulizayo ni za kiofisi

na kila offisi in utaratibu wake .

na huku ni Jamii foruma sio Banki
 
Hotuba au matamko ya yule mama ukingoja utekelezaji wake utaumiza akili yako. Vitu anaongea kwa nadharia. Anaahidi vitu au huduma kushuka bei na huku bei ya mafuta ya magari inapandishwa, usawaziko huwezi upata.
Mafuta tuliambiwa kwenye bajeti yatapanda na yamepanda!! Njoo kwenye hoja
 
Nilisikia kwenye media Afisa was benki kuu anasema bado wanajadiliana na mabenki kutekeleza agizo la Raisi....vuta subira

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
nenda banki husika mkuu
sisi sio bank Mkuu

Mambo hayo uyaulizayo ni za kiofisi

na kila offisi in utaratibu wake .

na huku ni Jamii foruma sio Banki
Nina wasiwasi na ulichonacho akilini mwako! Huku kuna watu wanaojua mambo mbalimbali kama hujui ni wewe. Wapishe wajuvi wa mambo!
 
Back
Top Bottom