Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari nzuri hiiNilisikia kwenye media Afisa was benki kuu anasema bado wanajadiliana na mabenki kutekeleza agizo la Raisi....vuta subira
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rais sio sheikh wa msikiti au mkurugenzi wa Amana bank kuwaza kama weweSiasa kitu hatari naweza sema mh Rais alisema ila ikumbukwe ndani ya neno lake kuna mengi.. unajuwa nn? Kasome vyema riba na Uhisilam ndio ujuwe hata hiyo riba anatamani isiwepo nadhani mtafurahi. End
Mkuu mbona mapovuNina wasiwasi na ulichonacho akilini mwako! Huku kuna watu wanaojua mambo mbalimbali kama hujui ni wewe. Wapishe wajuvi wa mambo!
Umejipambanua rasmi nilichokiona katika akili yako!! Psychology ni nzuri sana!!Mkuu mbona mapovu
sina hahkika kama humu kuna mfanyakazi wa Benki mwenye maadili ya Kibenki anaweza kujibu swali lakoo watakokujibu ni mbulula kama wewe usijue maana ya ofisi na maadili yake