Naomba kujuzwa Riba mpya za mabenki kwa wakopaji

Naomba kujuzwa Riba mpya za mabenki kwa wakopaji

Siasa kitu hatari naweza sema mh Rais alisema ila ikumbukwe ndani ya neno lake kuna mengi.. unajuwa nn? Kasome vyema riba na Uhisilam ndio ujuwe hata hiyo riba anatamani isiwepo nadhani mtafurahi. End
Rais sio sheikh wa msikiti au mkurugenzi wa Amana bank kuwaza kama wewe
 
Nina wasiwasi na ulichonacho akilini mwako! Huku kuna watu wanaojua mambo mbalimbali kama hujui ni wewe. Wapishe wajuvi wa mambo!
Mkuu mbona mapovu

sina hahkika kama humu kuna mfanyakazi wa Benki mwenye maadili ya Kibenki anaweza kujibu swali lakoo watakokujibu ni mbulula kama wewe usijue maana ya ofisi na maadili yake
 
Mkuu mbona mapovu

sina hahkika kama humu kuna mfanyakazi wa Benki mwenye maadili ya Kibenki anaweza kujibu swali lakoo watakokujibu ni mbulula kama wewe usijue maana ya ofisi na maadili yake
Umejipambanua rasmi nilichokiona katika akili yako!! Psychology ni nzuri sana!!
 
Back
Top Bottom