Naomba kujuzwa Shule ya Msingi ya Watoto watukutu

Naomba kujuzwa Shule ya Msingi ya Watoto watukutu

Habari wapendwa,

Mwenye kujua Shule ya Watoto Watukutu primary naomba mnisaidie niweze kumpeleka ana miaka 16.

Naomba kwa anaejua anisaidie
Kwa kweli inabidi ziwepo shule za watoto watukutu.
 
Miaka 16 nilikuwa form 4.

Ulichelewa wapi kumuanzisha au ndo utukutu?
 
Nazijua 2, moja ipo Kilosa yaani kule ukiaka unapigwa stiki za kutosha then unanda darasani, nkitoka mchana tena muda wa msosi unakula stiki bila sababu yaani mpaka muda wa kulala ni stiki kwa kwenda mbele

Nyingine ipo Tabora hii ndio funga kazi
 
Nazijua 2, moja ipo Kilosa yaani kule ukiaka unapigwa stiki za kutosha then unanda darasani, nkitoka mchana tena muda wa msosi unakula stiki bila sababu yaani mpaka muda wa kulala ni stiki kwa kwenda mbele

Nyingine ipo Tabora hii ndio funga kazi
Chai
 
Habari wapendwa,

Mwenye kujua Shule ya Watoto Watukutu primary naomba mnisaidie niweze kumpeleka ana miaka 16.

Naomba kwa anaejua anisaidie
Zamani ilikuwepo kule mbeya waulize wadau mwaka 1977 ilikuwepo kule mlimani kwenye baridi Kali sana
 
Habari wapendwa,

Mwenye kujua Shule ya Watoto Watukutu primary naomba mnisaidie niweze kumpeleka ana miaka 16.

Naomba kwa anaejua anisaidie
Ilikuwepo maadirisho kule irambo mbeya ilikuwa chini ya ustawi wa jamii enzi zile daah ile shule ilikua jela ndogo kaka haifai ata mtoto kwenda😀😀😀 maana yake mazingira mmmh,Kama uwezo upo mpeleke shule za dini atabadilika tuu
 
Back
Top Bottom