Mbongo ushaambiwa ukitaka kumnyima maarifa weka kwenye maandishi tu.Ila hii nchi uwelewa wa watu ni ndogo sana, yaani kuna mtu kama huyu mtoa mada hafahamu kama ffu, ni kitengo tu ndani ya Jeshi la Polisi.
Dah kweli hii nchi wajinga ni wengi sana.
Dah mtoa post I am very sorry nimetokeq kukuonaje sijui Kwa hilo swali lako
Njoo PM mama[emoji16][emoji28]
Shoo ya Mmasai uliielewa? Kama ndiyo nijibu nije PMSio umasai sema ilitokea mistake, niliondoka mwanza kwa sista kwa muda kufika kule, nikapelekwa chuo, kipindi hiko kulikuwa wenye sm wachache tu sikuwa nayo, ye kajua nimeenda kuolewa kumbe Wala, kurudi nimekwenda, kanipokea vizuri tu, nimekaa chini kaniambia ulivyoondoka nilizani umeolewa, Kuna mwanamke nipo naye, mi sipend Mambo ya ugomvi, hapa line mtaweza kufanya fujo, ndo kisa kuachana, kwa Nini ukwenda kule ffu kuomba kupiga sim, mi kimya, Ila akiniona anasimamisha gari tunaongea tatizo Mara nyingi anakuwa na wenzake, na Kuna siku aliniambia sema nikusaidie Nini, nikamwambia siitaji msaada wowote, baadhi ya watu waminiambia mjinga kweli.
maandishi ya sifa za FFU yapo wapi?Mbongo ushaambiwa ukitaka kumnyima maarifa weka kwenye maandishi tu.
Inasikitisha sana.
Ila muulize habari za Udaku za kina Bongo Fleva ama Movie uone anavotiririka.
Pata ajira jeshi la polisi. Hicho ni kitengo ndani ya polisi sio kazi za utumishi hizoIkiwa Kijana anataka kujiunga na Kikosi cha FFU awe na sifa zipi?
Yule pale sahivi mkwavi umasai umeisha.[emoji16]Shoo ya Mmasai uliielewa? Kama ndiyo nijibu nije PM